emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,001
- 1,430
Kalaga Baho Nongwa we jamaa kkoo unaijua yote kupita maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta investor ailete kariakoo kwenye mtandao tupige helaKalaga Baho Nongwa we jamaa kkoo unaijua yote kupita maelezo
mtu akitaka codes za chimbo analipiaNatafuta investor ailete kariakoo kwenye mtandao tupige hela
Nakazia 📌🔨 😅😂😁Dosho hilo,og mimi niliinunua miaka 3 iliyopita laki 3 za kitz,mchina leo akuuzie elfu 10!
Hapana hatuwez kufanya biashara ya hivi! It's impossible. Sisi tunaweka kitu kama alibaba hivmtu akitaka codes za chimbo analipia
Acha wapigwe kaka 😀,hamnaga new balace ya elfu 10Nakazia 📌🔨 😅😂😁
MeOke ni me au ke?
Hapo anojozee anauza midosho sana, nishawahu kununua cargo pants 35k nilivaa mara 2 tu ikaanza kupauka, Nikaona nimpe muuza kahawa tu atambe nayo.Mchikichi complex. Hizi bidhaa mbona common sana kariakoo. Au nenda muhonda na Manyema pale kuna duk linaitwa Anojozee.. mitaa hiyo unapata
Me hizi cargo pants nenda mtaa mmoja hiv unaitwa muhonda na Congo kuna jengo pale juu limeandikwa raha restaurant. Ingia chini ya hilo jengo cargo pants wanauzaga kati ya 18 mpaka 25. Sijajua unazungumzia quality yq aina gan mkuu
Kuna jamaa yangu anauza hizi zina faida nzur sana sana. Japo sijawah kufabya hii au mteja wa hizi kuna jamaa yangu mmoja niliwh kumpeleka pale mtaa wa mafia na swahili mpaka mafia na nymwez.. unaijua mitaa yenye gari za makumbusho tinazopota shekilango?Kalaga Baho Nongwa vipi kuhusu spare parts za pikipiki upepo wake upoje
Anojozee Achana nae.. wewe njoo huko nilipokuelekezaHapo anojozee anauza midosho sana, nishawahu kununua cargo pants 35k nilivaa mara 2 tu ikaanza kupauka, Nikaona nimpe muuza kahawa tu atambe nayo.
Yap najuaKuna jamaa yangu anauza hizi zina faida nzur sana sana. Japo sijawah kufabya hii au mteja wa hizi kuna jamaa yangu mmoja niliwh kumpeleka pale mtaa wa mafia na swahili mpaka mafia na nymwez.. unaijua mitaa yenye gari za makumbusho tinazopota shekilango?
Kibiashara kariakoo nguo zenye kuwa na quality nzur ni zile zinazoanza kuingia tu. Zikionekan zimeuza sana na kutoka awamu ya pili quality lazima ipungue. Unatumia brand gan hasa ya hiz cargo pants niioneHapo anojozee anauza midosho sana, nishawahu kununua cargo pants 35k nilivaa mara 2 tu ikaanza kupauka, Nikaona nimpe muuza kahawa tu atambe nayo.
Can you see any?Yap najua
Chimbo zuri hapo Donge na Swahili ni lipi
Yupo kwa ndani mkono wa kushoto kama unaingia Donge hapo sioCan you see any?
Ila ulitakiwa umtafute jamaa mmoja anaitwa SANGA STORE!
Sanga store bei zake nzur kidogo japo nilifika mda kuna jamaa yangu tulifanya research ya bei. Yake yey tutakaona reasonable zaidYupo kwa ndani mkono wa kushoto sio kama unaingia Donge hapo sio
I think soYupo kwa ndani mkono wa kushoto kama unaingia Donge hapo sio
Mzee baba reply zako ni za kushtukiza na zinapatikana pale unapoguswa tu 😂!.Yupo kwa ndani mkono wa kushoto kama unaingia Donge hapo sio