2sexy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 682
- 1,529
Ahsante d..kariakoo itanifaaYeaahh 🤣🤣
Muuza vijora maarufu hapa, mama la mama.!
Hivyo tunatoa Mombasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante d..kariakoo itanifaaYeaahh 🤣🤣
Muuza vijora maarufu hapa, mama la mama.!
Hivyo tunatoa Mombasa
Hakuna kitu ni take away tu.
Ubora na gharama ni mapacha.
Na ubovu na chee ni ndugu
Hilo chimbo zuri naona wengi wanauza 2500Leo nimepta wasaa wa kutembelea ilala nilipokuwa nauza mitumba zamani, na nimepita kariakoo chimbo. Hizi yebo ninataka kuzipeleka songwe... vijana mapambano ni kila siku. Hakuna kupoa
Kuna siku kidogo nijichanganye karume nilianziwa kiatu cha mtumba 120k nikaja kununua kwa 15k tena kwa mbinde sana. Ila naona wana post huko viatu vya mtumba mpaka 85k na wadau wananunua tu freshHaya mambo ukisimuliwa unaweza ona utani, ground mambo ndio yalivyo mkuu
Bei gani unipeleke
Hizi unachukua roba mkuu pisi 50Leo nimepta wasaa wa kutembelea ilala nilipokuwa nauza mitumba zamani, na nimepita kariakoo chimbo. Hizi yebo ninataka kuzipeleka songwe... vijana mapambano ni kila siku. Hakuna kupoa
Mkiunga mtaji na mtu nzuriLeo nimepta wasaa wa kutembelea ilala nilipokuwa nauza mitumba zamani, na nimepita kariakoo chimbo. Hizi yebo ninataka kuzipeleka songwe... vijana mapambano ni kila siku. Hakuna kupoa
Elf 11 pisi 24Bei gani unipeleke
MtumbaElf 11 pisi 24
Habari miss,Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
Habari wewe,Leo nimepta wasaa wa kutembelea ilala nilipokuwa nauza mitumba zamani, na nimepita kariakoo chimbo. Hizi yebo ninataka kuzipeleka songwe... vijana mapambano ni kila siku. Hakuna kupoa
Nenda manyema ulizia duka la chei cheiHabari wewe,
Natafuta chimbo la hizi bodysuit hapa Kariakoo. Niende duka/mtaa gani ?
Nataka kununua vi-bodysuit kama vinne/vitano hivi.
View attachment 3185564