Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Leo nimepta wasaa wa kutembelea ilala nilipokuwa nauza mitumba zamani, na nimepita kariakoo chimbo. Hizi yebo ninataka kuzipeleka songwe... vijana mapambano ni kila siku. Hakuna kupoa
 

Attachments

  • 20240922_111636.jpg
    20240922_111636.jpg
    471.4 KB · Views: 16
  • 20240922_105043.jpg
    20240922_105043.jpg
    446.3 KB · Views: 14
Tufanye hivi WA mikoani ukiitaji kitu nitafute nitakutumia kwa uaminifu mno.nitakutafutia chimbo la quality na bei nafuu.
Kama uko serious njoo pm.
Nina mambo yangu mengi ila nimeona wengi wanalalamika wanaoogopa kuutapeliwa.
Habari miss,
Natafuta chimbo la hizi bodysuit hapa Kariakoo. Niende duka/mtaa gani ?

Nataka kununua vi-bodysuit kama vinne/vitano hivi.
Screenshot_20241226-134746.jpg
 
Leo nimepta wasaa wa kutembelea ilala nilipokuwa nauza mitumba zamani, na nimepita kariakoo chimbo. Hizi yebo ninataka kuzipeleka songwe... vijana mapambano ni kila siku. Hakuna kupoa
Habari wewe,
Natafuta chimbo la hizi bodysuit hapa Kariakoo. Niende duka/mtaa gani ?

Nataka kununua vi-bodysuit kama vinne/vitano hivi.
Screenshot_20241226-134746.jpg
 
Back
Top Bottom