Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Furaha yetu ipo August 13, alf mkifanya mambo yenu sio lazima mtuhusisheSimba day is Loading, wanasimba mujiandae kwani chini ya kapet kuna shoo shoo! lakufa mtu.... Kwan Esperance... Mwaisa Watunisia wanatua kukipiga kwa mkapa!
Halafu!
Hawa Uto mbona hawana furaha....? [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Unajua waarabu wanapenda nini?Simba day is Loading, wanasimba mujiandae kwani chini ya kapet kuna shoo shoo! lakufa mtu.... Kwan Esperance... Mwaisa Watunisia wanatua kukipiga kwa mkapa!
Halafu!
Hawa Uto mbona hawana furaha....? [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Naskia salamnder hapo hapo wanapewa kila wanachokitaka mixer combination la waarabu na wasomaliUnajua waarabu wanapenda nini?
Naona unafurahia sana kuwakaribisha mabwana wenu.Simba day is Loading, wanasimba mujiandae kwani chini ya kapet kuna shoo shoo! lakufa mtu.... Kwan Esperance... Mwaisa Watunisia wanatua kukipiga kwa mkapa!
Halafu!
Hawa Uto mbona hawana furaha....? [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Jumlisha na ule wa djuma shabani anaidai yanga na yupo kwa mkopo na mayele pia..Huu uzi utatelekezwa kama ule wa takwimu za mayele na kibu.
Bila kusahau ule wa kuwa Nabil anakwenda Morocco.Jumlisha na ule wa djuma shabani anaidai yanga na yupo kwa mkopo na mayele pia..