Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Inahusu??Naomba kwanza kukufahamu, wewe mkibosho, mmachame au mmrangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusu??Naomba kwanza kukufahamu, wewe mkibosho, mmachame au mmrangu
hahahahahaa!Inahusu??
Give me one advantage of taking beer and I will give you 100 reasons why you shouldn't quit drinking!!upuuzi tu
eti mshiki yeye ukimpa budget anakupa class mamalia kiulainiiiiii!!Hapa mnajadili C.R.A.P gani wajameni?
eti mshiki yeye ukimpa budget anakupa class mamalia kiulainiiiiii!!
ee kweli ww Mrombo,nakupongeza kwa kuwa so open coz kuna watu hawasemi walipotokea so big up!!Kwetu kule "Useri" Karibu na ile shule ya sekondari
Shanghai............fake...crapiestYaani kila kitu ni crap na fake...thread yenyewe na crap yenyewe.
Shanghai............fake...crapiest
Yaani kila kitu ni crap na fake...thread yenyewe na crap yenyewe.
mara shape less, mara miguu sijui imakaaje, sasa mmeenda kwenye ugumu wa kutongozeka. hamchoki tuu kutujadili? hii inamaana kwamba, sisi (wachagga) ni watu wa muhimu sana katika nji hii!!!!
wachaga hoyeeeeeeeeeee! tuko juu kama ndege ya nani vile?!!
danganya watu wewe mbona wangu mchaga na kanipenda mwenyewe wala sent yangu sijampa
hahahahahaa!
aksante sana mama manka.
habari yake bana...........hivi FL ni mchaga?Anakulia Timing ili ukae mkao wa kuzichomoa za kutosha tena huyo wa kwako mzuri na anakupenda mpaka analia na matatizo ya kwenu yeye ni wa kwanza kutaka kuyatatua utaingia tu langoni dawa inachemka jikoni
HAWALIWAGI MKOPO HAO NA HAWAFANYI KAZI YA HASARA we jichanganye tu utafurahi mwenyewe
STUKA
Yule Mgonjwa wa Malaria isiyopona amehamia huku, cheki typo zake ha ha haaaa
Mmmmmh mwanaume mweupe!!
Heart breaker??
Sidhani!!
habari yake bana...........hivi FL ni mchaga?
Hebu nipe mbinu za kumpata mwanaume wa kichaga.
Hivi we Derimto ndo nini wantelekeza mie huko kumbe uko kwenye kutafuta wanawake wa kichaga........si ungenijuza tu!!Kwish nehi habari yako imeliwa na mchwa