Hivi we Derimto ndo nini wantelekeza mie huko kumbe uko kwenye kutafuta wanawake wa kichaga........si ungenijuza tu!!
Nawapeleka wapi mimi hawa mahati breka wezi waliokubuhu halafu huwa sirudii darasa hata akiwa anatoa machozi ya asali siwaamini nimeshajifunza sana akiwa na mimi ajiandae kuibiwa full maana hesabu anyopiga mimi tayari nina majibu yake NAKUJA Babe! Usilie jamani