Nakupa Siri ya kuwapata wadada wa kichaga

Nakupa Siri ya kuwapata wadada wa kichaga

Hivi we Derimto ndo nini wantelekeza mie huko kumbe uko kwenye kutafuta wanawake wa kichaga........si ungenijuza tu!!

Nawapeleka wapi mimi hawa mahati breka wezi waliokubuhu halafu huwa sirudii darasa hata akiwa anatoa machozi ya asali siwaamini nimeshajifunza sana akiwa na mimi ajiandae kuibiwa full maana hesabu anyopiga mimi tayari nina majibu yake NAKUJA Babe! Usilie jamani
 
Nawapeleka wapi mimi hawa mahati breka wezi waliokubuhu halafu huwa sirudii darasa hata akiwa anatoa machozi ya asali siwaamini nimeshajifunza sana akiwa na mimi ajiandae kuibiwa full maana hesabu anyopiga mimi tayari nina majibu yake NAKUJA Babe! Usilie jamani

Sikumbuki kama nshachukua mahari yako.......we dogo unataka kumfanya nini mjukuu wangu?
 
Sikumbuki kama nshachukua mahari yako.......we dogo unataka kumfanya nini mjukuu wangu?

Babu tumepeana kiisilamu mtoto kachukua mwenyewe kisha kanirudishia tunaenda kula bata Zenji!!!!! Lakini acha unoko babu nakuja na blanketi sasa hivi halafu futa maana binti anakuogopa
huyo
 
Asante Babu kwa kunilinda.........alisema ananipeleka sinema!!
Ona alichokudanganya, na anachomwongopea babu hapa chini

Babu tumepeana kiisilamu mtoto kachukua mwenyewe kisha kanirudishia tunaenda kula bata Zenji!!!!! Lakini acha unoko babu nakuja na blanketi sasa hivi halafu futa maana binti anakuogopa
huyo
Kumwongopea babu ni kinyume na taratibu na mila za kiafrika. You are banned!!
 
Nawapeleka wapi mimi hawa mahati breka wezi waliokubuhu halafu huwa sirudii darasa hata akiwa anatoa machozi ya asali siwaamini nimeshajifunza sana akiwa na mimi ajiandae kuibiwa full maana hesabu anyopiga mimi tayari nina majibu yake NAKUJA Babe! Usilie jamani

Weee tulikwambia ukija lazima uje kuona wenyeji kwanza
 
Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi. Hawa awana moyo wa kupenda, maslai kwanza.
Sikubaliani nawe maana mimi nilimpata mmoja tena bila gharama yoyote!

 
DAWA YA AKINA DADA WA KICHAGA NI WANAUME/WAKAKA WA KISUKUMA.

Hapana bana, wasukuma hawaendani kabisa na akina manka.

Maneno ni Mchaga Vs Mkurya, hapo ndipo utamuona binti wa kichaga anavyojifunza kupenda.

Lakini pia akina manka wanatupendaga sana, hata sijui kwa nini?!
 
tatzo wanamiguu kama saa tisa kasoro yan hawaja 2lia alafu kama hawajui chezo alafu shape less so hawavutii
 
Mi niko hapa and nimezungukwa na chagan women,all i see is women who have a stand and fighters kuzisaka hzo mapesa!lol!sredi clozd.
 
Maslahi kwa wachaga mbele!Kama kidenti denti anacheki yule kipanga anapiga piga As ha ha ha...!
 
Maslahi kwa wachaga mbele!Kama kidenti denti anacheki yule kipanga anapiga piga As ha ha ha...!
Sasa vichwa maji tuwapeleke wapi??Kama hana pesa leo atleast aonyeshe mwelekeo wakuzipata kesho!
 
Back
Top Bottom