Nakupa Siri ya kuwapata wadada wa kichaga

mara shape less, mara miguu sijui imakaaje, sasa mmeenda kwenye ugumu wa kutongozeka. hamchoki tuu kutujadili? hii inamaana kwamba, sisi (wachagga) ni watu wa muhimu sana katika nji hii!!!!
wachaga hoyeeeeeeeeeee! tuko juu kama ndege ya nani vile?!!

Ndege ya Uchumi ha ha haaaa
 
danganya watu wewe mbona wangu mchaga na kanipenda mwenyewe wala sent yangu sijampa

Anakulia Timing ili ukae mkao wa kuzichomoa za kutosha tena huyo wa kwako mzuri na anakupenda mpaka analia na matatizo ya kwenu yeye ni wa kwanza kutaka kuyatatua utaingia tu langoni dawa inachemka jikoni
HAWALIWAGI MKOPO HAO NA HAWAFANYI KAZI YA HASARA we jichanganye tu utafurahi mwenyewe
 
habari yake bana...........hivi FL ni mchaga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…