Hivi we Derimto ndo nini wantelekeza mie huko kumbe uko kwenye kutafuta wanawake wa kichaga........si ungenijuza tu!!
Nawapeleka wapi mimi hawa mahati breka wezi waliokubuhu halafu huwa sirudii darasa hata akiwa anatoa machozi ya asali siwaamini nimeshajifunza sana akiwa na mimi ajiandae kuibiwa full maana hesabu anyopiga mimi tayari nina majibu yake NAKUJA Babe! Usilie jamani
Asante Babu kwa kunilinda.........alisema ananipeleka sinema!!Sikumbuki kama nshachukua mahari yako.......we dogo unataka kumfanya nini mjukuu wangu?
Sikumbuki kama nshachukua mahari yako.......we dogo unataka kumfanya nini mjukuu wangu?
hahahahaaaaaa!! hii ni qoute of the dayKwish nehi habari yako imeliwa na mchwa
Ona alichokudanganya, na anachomwongopea babu hapa chiniAsante Babu kwa kunilinda.........alisema ananipeleka sinema!!
Kumwongopea babu ni kinyume na taratibu na mila za kiafrika. You are banned!!Babu tumepeana kiisilamu mtoto kachukua mwenyewe kisha kanirudishia tunaenda kula bata Zenji!!!!! Lakini acha unoko babu nakuja na blanketi sasa hivi halafu futa maana binti anakuogopa
huyo
Nawapeleka wapi mimi hawa mahati breka wezi waliokubuhu halafu huwa sirudii darasa hata akiwa anatoa machozi ya asali siwaamini nimeshajifunza sana akiwa na mimi ajiandae kuibiwa full maana hesabu anyopiga mimi tayari nina majibu yake NAKUJA Babe! Usilie jamani
Sikubaliani nawe maana mimi nilimpata mmoja tena bila gharama yoyote!Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata safari mia, akuelewi. Hawa awana moyo wa kupenda, maslai kwanza.
Acha kudanganya watu bwana ina maana tunapenda sana pesa kuliko mapenzi??? Mbona thread za wachaga zimekuwa nyingi nini tumekosea??
Weee tulikwambia ukija lazima uje kuona wenyeji kwanza
DAWA YA AKINA DADA WA KICHAGA NI WANAUME/WAKAKA WA KISUKUMA.
Naona kama kuna kaukweli hapo.............
Sasa vichwa maji tuwapeleke wapi??Kama hana pesa leo atleast aonyeshe mwelekeo wakuzipata kesho!Maslahi kwa wachaga mbele!Kama kidenti denti anacheki yule kipanga anapiga piga As ha ha ha...!
Sasa vichwa maji tuwapeleke wapi??Kama hana pesa leo atleast aonyeshe mwelekeo wakuzipata kesho!
why is it always have to be about money?