Nakupa wazo wewe Mwekezaji, yule Bilionea wa Manyara ametumia fursa ya kutengeneza pombe, Sasa anamiliki hadi Helikopta

Nakupa wazo wewe Mwekezaji, yule Bilionea wa Manyara ametumia fursa ya kutengeneza pombe, Sasa anamiliki hadi Helikopta

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Mimi binafsi shida yangu ni Mtaji tu.

Nawasilisha opinion zangu kwako mwekezaji katika pombe kali, sasa hapa hutakiwi kushindana na smart gin maana yeye alitengeneza formula zake na akaliona soko sasahv smart gin ipo kwenye mzunguko mkubwa sana.

Twende kwenye wazo, Kumbuka kama unataka tushirikiane basi mimi ni asset, nina mkemia na CV yake ipo safi sana na pia sasahv ameajiriwa Dodoma kuna jamaa mmoja anatengeneza kiwanda cha pombe.

Idea ya wazo; brand name yake ni GONGO LA MBOTO GIN au GONGO LA MBOTO PREMIUM VODCA..

Tunafanya research ya gongo ile yenyewe ya Mapapai, tunafanya evaluation ya taste yake na tunaweka/tunatengeneza inayofanana nayo then tunaweka kwenye package ya kuanzia elfu mbili na elfu tano.

Tunashughulikia compliance zote za serikali, then tunaweka mzigo dukani.

So far, mimi nitakupa location ya zaidi ya vibanda umiza 100 kwa Dar kwa kuanzia.

Sasa karibu tuendelee kujadiliana opinion zako zitalindwa na wadukuzi sababu nimeweka open hapa jamiiforums na nishasajili Brela.

Ukitaka privacy njoo PM

NB: Nawasilisha kwa wote ambao nia yao ni nzuri, Sitaki ujuaji kabisa kwenye hii post nitakudhalilisha ni bora uwe positive tu.
 
Najua vitu sio rahisi haswa kwenye vibali na kupata raw materials ndio maana nimeweka kwa watu wote. Pia hii kitu nimeandikia andiko kama unalitaka njoo PM
 
Kama una eneo
Una idea
Una wataalamu

Na unakosa pesa

Mimi nina nina constructive ideas za kuweza kufauta watu wakuweka hela.

Kwa kuanza our product tuuze 1500-3000

Pombe zinanyweka Sana Kwa vijana hasa pombe zenge Alcohol power kubwa. (Stimu za bei rahisi)


Tukianza kuingiza pesa au mapato tutakuwa na utamadumi wa kila mwezi kurudisha Kwa jamii Kwa kuchagia gharama za figo na moyo maana hii Kazi inaenda sawa na kubeba karma Kwa kuharibu Afya za watu usipofanya hivyo utaweza Ku to boa in long run
 
Kuna pombe inatengenezwa mixer na mmea ingehalalishwa hapa bongo. ingeleta pesa mingi sana
1000017522.png
 
Ila hizi pombe kali za 2000 na zile za kupima unapata kipimo ha 1000 zitakuja kuwaua vijana. Mtu ana miaka 30 anaonekana kama 50+.
Kuna jamaa yangu alikuwa dar akahamia Arusha, kaenda kutengeneza hizi pombe. Jamaa kwa sasa yupo vizuri. Wadudu sasa, ndio wanamaliziwa.
 
Mimi binafsi shida yangu ni Mtaji tu.

Nawasilisha opinion zangu kwako mwekezaji katika pombe kali, sasa hapa hutakiwi kushindana na smart gin maana yeye alitengeneza formula zake na akaliona soko sasahv smart gin ipo kwenye mzunguko mkubwa sana.

Twende kwenye wazo, Kumbuka kama unataka tushirikiane basi mimi ni asset, nina mkemia na CV yake ipo safi sana na pia sasahv ameajiriwa Dodoma kuna jamaa mmoja anatengeneza kiwanda cha pombe.

Idea ya wazo; brand name yake ni GONGO LA MBOTO GIN au GONGO LA MBOTO PREMIUM VODCA..

Tunafanya research ya gongo ile yenyewe ya Mapapai, tunafanya evaluation ya taste yake na tunaweka/tunatengeneza inayofanana nayo then tunaweka kwenye package ya kuanzia elfu mbili na elfu tano.

Tunashughulikia compliance zote za serikali, then tunaweka mzigo dukani.

So far, mimi nitakupa location ya zaidi ya vibanda umiza 100 kwa Dar kwa kuanzia.

Sasa karibu tuendelee kujadiliana opinion zako zitalindwa na wadukuzi sababu nimeweka open hapa jamiiforums na nishasajili Brela.

Ukitaka privacy njoo PM

NB: Nawasilisha kwa wote ambao nia yao ni nzuri, Sitaki ujuaji kabisa kwenye hii post nitakudhalilisha ni bora uwe positive tu.
Hakuna biashara yenye hela inayojulikana na wengi. Watengenezaji pombe ni wengi kupata faida ni kwenye pombe ni ndoto ya asubuhi. Labda uanze kwa kuipika na kuichuja wewe mwenyewe. Kama wanavyofanya wazungu. Utapata pombe nzuri lakini itachukua muda kupata batch ya kwanza kuuza. Watengenezaji wengi wa pombe kali wana-import ethanol wna dilute na kuongeza flavour.
 
Back
Top Bottom