Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm ungetaja whole budget ningekufikiria, nitumie PMNjoo PM nikupe budget mkuu kumbuka hunipi cash, tunazunguka wote kwenda kutafuta material yanayo takiwa
Tafuta hela, tena itafute KWA BIDII SANAA.Wazalishaji wa hizi pombe za bei chee na wauzaji wa dawa za kulevya hawana tofauti !
Over
Hujapigwa vizuri na umaskini wwKua na huruma kwa binadamu wenzako.
Mkuu njoo tupige hiyo pesaMm natafta app developer nimpe mkakati tupige hela
nipo hapaMm natafta app developer nimpe mkakati tupige hela
Mimi binafsi shida yangu ni Mtaji tu.
Nawasilisha opinion zangu kwako mwekezaji katika pombe kali, sasa hapa hutakiwi kushindana na smart gin maana yeye alitengeneza formula zake na akaliona soko sasahv smart gin ipo kwenye mzunguko mkubwa sana.
Twende kwenye wazo, Kumbuka kama unataka tushirikiane basi mimi ni asset, nina mkemia na CV yake ipo safi sana na pia sasahv ameajiriwa Dodoma kuna jamaa mmoja anatengeneza kiwanda cha pombe.
Idea ya wazo; brand name yake ni GONGO LA MBOTO GIN au GONGO LA MBOTO PREMIUM VODCA..
Tunafanya research ya gongo ile yenyewe ya Mapapai, tunafanya evaluation ya taste yake na tunaweka/tunatengeneza inayofanana nayo then tunaweka kwenye package ya kuanzia elfu mbili na elfu tano.
Tunashughulikia compliance zote za serikali, then tunaweka mzigo dukani.
So far, mimi nitakupa location ya zaidi ya vibanda umiza 100 kwa Dar kwa kuanzia.
Sasa karibu tuendelee kujadiliana opinion zako zitalindwa na wadukuzi sababu nimeweka open hapa jamiiforums na nishasajili Brela.
Ukitaka privacy njoo PM
NB: Nawasilisha kwa wote ambao nia yao ni nzuri, Sitaki ujuaji kabisa kwenye hii post nitakudhalilisha ni bora uwe positive tu.
Pia wanaokopi wanaweza kukuharibia brand kwa kuzalisha chini ya kiwangoEt umesajili brela
Tukiona mzigo unatembea kukopi hatuachi
Kila kitu kina faida na hasara,kuna wakat wanaokopi mzigo wako wanakusaidia kujitangaza na utapata masoko zaidi
Maisha yamekuchapa unataka kuuza gongo.Mimi binafsi shida yangu ni Mtaji tu.
Nawasilisha opinion zangu kwako mwekezaji katika pombe kali, sasa hapa hutakiwi kushindana na smart gin maana yeye alitengeneza formula zake na akaliona soko sasahv smart gin ipo kwenye mzunguko mkubwa sana.
Twende kwenye wazo, Kumbuka kama unataka tushirikiane basi mimi ni asset, nina mkemia na CV yake ipo safi sana na pia sasahv ameajiriwa Dodoma kuna jamaa mmoja anatengeneza kiwanda cha pombe.
Idea ya wazo; brand name yake ni GONGO LA MBOTO GIN au GONGO LA MBOTO PREMIUM VODCA..
Tunafanya research ya gongo ile yenyewe ya Mapapai, tunafanya evaluation ya taste yake na tunaweka/tunatengeneza inayofanana nayo then tunaweka kwenye package ya kuanzia elfu mbili na elfu tano.
Tunashughulikia compliance zote za serikali, then tunaweka mzigo dukani.
So far, mimi nitakupa location ya zaidi ya vibanda umiza 100 kwa Dar kwa kuanzia.
Sasa karibu tuendelee kujadiliana opinion zako zitalindwa na wadukuzi sababu nimeweka open hapa jamiiforums na nishasajili Brela.
Ukitaka privacy njoo PM
NB: Nawasilisha kwa wote ambao nia yao ni nzuri, Sitaki ujuaji kabisa kwenye hii post nitakudhalilisha ni bora uwe positive tu.
AiseeIla hizi pombe kali za 2000 na zile za kupima unapata kipimo ha 1000 zitakuja kuwaua vijana. Mtu ana miaka 30 anaonekana kama 50+.
Kuna jamaa yangu alikuwa dar akahamia Arusha, kaenda kutengeneza hizi pombe. Jamaa kwa sasa yupo vizuri. Wadudu sasa, ndio wanamaliziwa.
Tena Niko karibu na kiwanda cha miwa kilombera sugar estate kwa umbali kilometa 32Najua vitu sio rahisi haswa kwenye vibali na kupata raw materials ndio maana nimeweka kwa watu wote. Pia hii kitu nimeandikia andiko kama unalitaka njoo PM
Ukila pombe gonga menu ya steak ya nyama choma,pombe unaigeuzia direction ipambane na nyama chomaIla hizi pombe kali za 2000 na zile za kupima unapata kipimo ha 1000 zitakuja kuwaua vijana. Mtu ana miaka 30 anaonekana kama 50+.
Kuna jamaa yangu alikuwa dar akahamia Arusha, kaenda kutengeneza hizi pombe. Jamaa kwa sasa yupo vizuri. Wadudu sasa, ndio wanamaliziwa.