BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½Ni majanga makubwa Mkuu.
Endapo kama huyo mdogo wake ni mwanafunzi basi ni wazi hata wao wamechangia kumharibu na kwa umri wa miaka 18 ni wazi kisheria huyo anatakiwa awe na hadhi ya uanafunzi.
Sijui kwanini jamii huiga uzungu na kufanya maadili yashuke kiasi hiki, miaka 18 unampa simu ili awasiliane na nani na kwa sababu zipi za msingi, akiwa bado ni mwanafunzi anapewa kwa sababu kuu ipi yaani.
Huwa mambo mengi tunajitakia wenyewe na nikipata namba zake hata mimi lazima nimkojoze maana walio juu yake ndiyo wameamua kumpa mtaala wa umalaya.