Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza katwa na huo wembe sehemu mbaya isiyo tibika
Kashanogewa na Dudu la yuyuNi msg nimeiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike miaka 18 ameituma kwa rafiki yake wa kiume.
Baada ya kufuatilia aliye tumiwa ni mwanaune wa miaka 38.
Nisaidieni nimshauri vipi huyu dogo?
Watoto wa siku hizi sijui wana mapepo?
Yaani hata Mimi simshauri mzazi kumpa Mtoto CM kwa umri huo. Wanamambo mengi sana watoto wa siku hiziHawa watoto kuwakabidhi simu huwa ni kosa kubwa sana la kimaadili. Yaani simu zina mambo mengi sana ni ngumu mtoto wa umri huo kuwa na simu na akakosa kurubuniwa.
miaka 18 ni mtu mzima sasa washangaa nini hapo .........................muache kashapata mtu anampenda hadi anajikojoleaNi msg nimeiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike miaka 18 ameituma kwa rafiki yake wa kiume.
Baada ya kufuatilia aliye tumiwa ni mwanaune wa miaka 38.
Nisaidieni nimshauri vipi huyu dogo?
Watoto wa siku hizi sijui wana mapepo?
Ni msg nimeiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike miaka 18 ameituma kwa rafiki yake wa kiume.
Baada ya kufuatilia aliye tumiwa ni mwanaune wa miaka 38.
Nisaidieni nimshauri vipi huyu dogo?
Watoto wa siku hizi sijui wana mapepo?
Miaka 18 ni mtu ambaye anatakiwa kuwa na maamuzi yake binafsi, kuchukua simu hakutasaidia..anapaswa alimishwe na kupewa muelekeo sahihi, akikaidi atajua mwenyewe mbele ya safari.Mh pole sana Mkuu. Sitisha hayo mahusiano haraka sana na ikiwezekana chukua hiyo simu kwa muda ili wasiweze kuwasiliana.
Anaweza akaacha mawasiliano na huyo akaanzisha na mwingine. Haitasaidia hata bila kuwa na simu atafanyaHilo nalijua Mkuu lakini kwa kuwa atakuwa hanayo mkononi inaweza kusaidia kupunguza mawasiliano yao. Nilikuja hapa kuuliza mkojo upi? Kumbe ni mwenzetu ana tatizo na mdogo wake.
Swali la msingiUnachoshangaa hiyo age difference au hiyo SMS??
Miaka 18 ni mtu ambaye anatakiwa kuwa na maamuzi yake binafsi, kuchukua simu hakutasaidia..anapaswa alimishwe na kupewa muelekeo sahihi, akikaidi atajua mwenyewe mbele ya safari.
Alternative nyingine ni kuongea na Hilo lijamaa la miaka 38 maana ni limume la mtu
meshavuka Tender age mwache afanye yakeNi msg nimeiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike miaka 18 ameituma kwa rafiki yake wa kiume.
Baada ya kufuatilia aliye tumiwa ni mwanaune wa miaka 38.
Nisaidieni nimshauri vipi huyu dogo?
Watoto wa siku hizi sijui wana mapepo?
Ni kweli, lkn kumbuka kuwa penzi linalopigwa vita kwa kutumia nguvu nyingi mara nyingi hushamiri zaidiInategemea na akili ya mtoto. 18 wengi bado wana akili ya miaka 10.
Bila Kukojozwa?
Haha haa daah --- kweli wana mapepo !!!!Ni msg nimeiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike miaka 18 ameituma kwa rafiki yake wa kiume.
Baada ya kufuatilia aliye tumiwa ni mwanaune wa miaka 38.
Nisaidieni nimshauri vipi huyu dogo?
Watoto wa siku hizi sijui wana mapepo?
Hahaa ...si-ameshafika miaka 18 lakini ..serikali inatambua Kuwait ni mtu mzima huyo ...amuache tu na maisha yake ..asije kufanya ulicho mshauri halafu binti akampeleka police bureMh pole sana Mkuu. Sitisha hayo mahusiano haraka sana na ikiwezekana chukua hiyo simu kwa muda ili wasiweze kuwasiliana.
Hahaa ...si-ameshafika miaka 18 lakini ..serikali inatambua Kuwait ni mtu mzima huyo ...amuache tu na maisha yake ..asije kufanya ulicho mshauri halafu binti akampeleka police bure