NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Watanzania,
Binafsi nampongeza Sana Ndugu yangu Maulidi kitenge kwa nondo zilizoshiba za kumjibu Shaka Hamdu shaka kuhusu Katiba Mpya na ushirikishwaji wake KWA wananchi!
Kitenge amemjibu shaka KWA kusema"wananchi wote walishashirikishwa swala la katiba mpya tena makundi yote kuanzia MAMA ntilie,machinga Hadi wananchi wa kawaida!!kilichobaki ni kumalizia tulipoishia kwani Rasimu ya Warioba ilishapatikana na itumike kupata katiba mpya tu Basi!!!
Ameongeza KWA kusema "labda Ndugu shaka wakati tunashirikishwa wewe ulikuwa mchanga Sana kisiasa KWA hiyo wananchi walishashirikishwa hivyo mchakato uanzie pale tulipoishia na si vinginevyo!!!
Tunawahitaji Sana wanahabari wengi Sana wa aina hii Hapa nchini!
Ni dhahiri chama tawala kina Mpango maksudi KABISA wa kuchelewesha mchakato huu Ili uchaguzi 2025 ufanyike KWA katiba ya zamani Ili washinde KWA kumtumia polisi kama 2020.
Shaka anapaswa kujua kuwa mchakato huu kikwete aliuanzisha na Samiah akawa Mwenyekiti wa Binge lile la katiba na wananchi walishirikishwa KWA hiyo watanzania hawatokua ngonjera Muda umefika wajiandae tu kisaikolojia KWA uchaguzi huru na haki wa katiba mpya na sio vinginevyo.
Kumbuka katiba mpya Sio takwa la CCM wala CHADEMA bali la wananchi wenye nchi na hatuhitaji hisani ya Mwenyekiti wa CHAMA chochote cha siasa ili tuipate!hivyo haizuliki unakuja kama mafuriko.
Niwaombe waandishi wa habari na watangazaji muanze rasmi KWENYE vituo vyenu vya redio na Television kutangaza takwa la katiba bila uoga wala Soni!!!
Moderators naomba mpachike ile clip ya kitenge kama mnayo! Mimi sijapata nimeisikia redioni tu!
Asanteni kwa muda
Binafsi nampongeza Sana Ndugu yangu Maulidi kitenge kwa nondo zilizoshiba za kumjibu Shaka Hamdu shaka kuhusu Katiba Mpya na ushirikishwaji wake KWA wananchi!
Kitenge amemjibu shaka KWA kusema"wananchi wote walishashirikishwa swala la katiba mpya tena makundi yote kuanzia MAMA ntilie,machinga Hadi wananchi wa kawaida!!kilichobaki ni kumalizia tulipoishia kwani Rasimu ya Warioba ilishapatikana na itumike kupata katiba mpya tu Basi!!!
Ameongeza KWA kusema "labda Ndugu shaka wakati tunashirikishwa wewe ulikuwa mchanga Sana kisiasa KWA hiyo wananchi walishashirikishwa hivyo mchakato uanzie pale tulipoishia na si vinginevyo!!!
Tunawahitaji Sana wanahabari wengi Sana wa aina hii Hapa nchini!
Ni dhahiri chama tawala kina Mpango maksudi KABISA wa kuchelewesha mchakato huu Ili uchaguzi 2025 ufanyike KWA katiba ya zamani Ili washinde KWA kumtumia polisi kama 2020.
Shaka anapaswa kujua kuwa mchakato huu kikwete aliuanzisha na Samiah akawa Mwenyekiti wa Binge lile la katiba na wananchi walishirikishwa KWA hiyo watanzania hawatokua ngonjera Muda umefika wajiandae tu kisaikolojia KWA uchaguzi huru na haki wa katiba mpya na sio vinginevyo.
Kumbuka katiba mpya Sio takwa la CCM wala CHADEMA bali la wananchi wenye nchi na hatuhitaji hisani ya Mwenyekiti wa CHAMA chochote cha siasa ili tuipate!hivyo haizuliki unakuja kama mafuriko.
Niwaombe waandishi wa habari na watangazaji muanze rasmi KWENYE vituo vyenu vya redio na Television kutangaza takwa la katiba bila uoga wala Soni!!!
Moderators naomba mpachike ile clip ya kitenge kama mnayo! Mimi sijapata nimeisikia redioni tu!
Asanteni kwa muda