Nakushauri Rais Samia, achana na huyo haendani na wewe

Hii mada mbona haihusiani?
 
Kwanini walimtoa jalalani only to come and throw him away.?
Kwanini wasingemuwacha kulekule where he belongs?
Kweli kabisa Faizafoxy[emoji23]lkn wale transferred without pay wanateseka sana huko vichakani madam[emoji539]

Si umuulize huyo wa jalalani mwenzako.

Hivi unategemea nini kutokea jalalani zaidi ya uvundo tu?
 
Hapo aghalabu umemaanisha nini?
 
Usiingilie mambo usiyoyajua.
 
Kama tu yeye mwenyewe ana Mapungufu kibao unategemea kweli jipya kutoka Kwake na atakuelewa kama utakavyo?
 
Wewe na takataka wenzako ndio mnamhitaji,usinisemee Mimi.

Watu wasiotumia akili sio sehemu ya watu naoweza kujadiliana nao,hawana tofauti na Ng'ombe wanatumia Nguvu
 
Mama yako hana hiyo nguvu unayohisi anayo ndio maana kuna madudu yanafanyika mbele yake ila hana uthubutu wa kuchukua hatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…