Nakushauri Rais Samia, achana na huyo haendani na wewe

Nakushauri Rais Samia, achana na huyo haendani na wewe

Moja kwa moja kwenye mada

Huyo ni tatizo, ana a lot of criminal allegations, wewe ni mtu wa rule of law, huyo dogo hafuati utawala wa sheria. it is very difficult to deal with an ignorant person, ata kuharibia

Drop that non-sense, tafuta watu wenye kuendana na haiba yako, bado haujachelewa, dont hang with wrong people
nakushauri, unajiharibia sana

Sukuma gang and the rest of gangs hawakuwezi, wewe ndiye mwenye dola, neno lako ni sheria, nakwazika sana unaoposhindwa kufanya unalotakiwa kufanya

Chukua au acha, huo ndio ushauri wa MIXOLOGIST, nimemaliza
Allegations kutoka kwa Lissu πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚

Si mmeqmbiwa muende mkaripoti kama mna ushahidi.

Mbona hamuendi
 
Moja kwa moja kwenye mada

Huyo ni tatizo, ana a lot of criminal allegations, wewe ni mtu wa rule of law, huyo dogo hafuati utawala wa sheria. it is very difficult to deal with an ignorant person, ata kuharibia

Drop that non-sense, tafuta watu wenye kuendana na haiba yako, bado haujachelewa, dont hang with wrong people
nakushauri, unajiharibia sana

Sukuma gang and the rest of gangs hawakuwezi, wewe ndiye mwenye dola, neno lako ni sheria, nakwazika sana unaoposhindwa kufanya unalotakiwa kufanya

Chukua au acha, huo ndio ushauri wa MIXOLOGIST, nimemaliza
Watu "asante mama samia kwa kuleta hewa ya oxygen tanzania "

Naona anaandika uzi ......mkuu umesahau kuto shukrani za rais hapo...... kwa kufanya uweze kuoa
 
Sukuma gang

not-listening-jpeg.2961955
 
Back
Top Bottom