Nakushauri Rais Samia, achana na huyo haendani na wewe

Nawewe ni mtu Wa system sio
Utu wa system autoe wapi mkuu! Mtu wa system awe mbaguz kama huyu jihadist? labda system ya Taliban. Makonda ataendelea kuwatesa sana watu, kikubwa tupunguze wivu na kutakiana mabaya
 
Allegations kutoka kwa Lissu πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚

Si mmeqmbiwa muende mkaripoti kama mna ushahidi.

Mbona hamuendi
 
Watu "asante mama samia kwa kuleta hewa ya oxygen tanzania "

Naona anaandika uzi ......mkuu umesahau kuto shukrani za rais hapo...... kwa kufanya uweze kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…