Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
Unajidai humtaki maovu mzushiaaa, kumbe unataharuki na mate kummezeaaaa wafanya kisebusebu na kiroho kipopapo - Michelle kama una full lyrics za kisebusebu by Mukrim mtundikie Hash.
Siangalii nyuma kaka yangu,milango imefunguka,nasonga mbele.......wala sina time nae,manake jana kuna jambo nimeomba tu ufafanuzi kanichunia....so naona hataki nisikia...........