Nakusudia kufungua kesi dhidi ya mhe. Samia (alitenda kosa kabla hajawa rais)

Mkaa bure siyo sawa na mtembea bure. Nitakutumia mahakama za Afrika mashariki na Afrika. Ikibidi nitaenda hata the Hague
🤣🤣Mwenzako Tundu Lissu alisema hivyohivyo....vipi Robert Amsterdam amemtosa?!!!
 
Wapuuzi mnajifurahisha........
you are mocking us!!???
 


 
Katiba hairuhusu kumshtaki rais mahakamani, jaribu novena na albadir
 
Katiba hairuhusu kumshtaki rais mahakamani, jaribu novena na albadir
Kwa makosa aliyotenda akiwa rais tu. Mm namshitaki mhe. Samia siyo rais Samia
 
Shukurani mkuu
Na niliwahi andika hivi hapa JF siku za nyuma:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…