Nakusudia kufungua kesi dhidi ya mhe. Samia (alitenda kosa kabla hajawa rais)

Nenda mahakamani umetupa ajenda tutakufungulia Space tukujadili.
 
She is worthless, Watz wasahalifu sana washasahau leo wanaimba na kuabudu.

Mama mitano tena
 
Hiyo kes utaenda mahakaman mpaka utachoka. Nakushauri upange chumba karibu na mahakama, ukichomoka kwako, unachomokea mahakaman kupunguza Nauli.....
 
Safi sana
 
Ukishinda Na Mimi naishitaki mahakani kwa kumuhukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…