Yes,Hivi huwa kuna anaeachia Ubunge Kwa hiyari?
Sasa akitaja jimbo maana yake ame disclose taarifa zake. Mtu anatumia ID feki halafu unamwambia ataje jimbo.Kutaja tu jimbo lako umeshindwa...
Jifunze Kiswahili Kwanza,Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025[emoji205]
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.
walimu tutaendelea kuboresha mazingira yao ya kazi na ya kuishi, lakini zaid sana maslahi yao yatamulikwa tena, ili wajitolee zaid katika kuwafundisha wanetu ambao ni Taifa la sasa na Kesho 🐒Huendi kutumikia wananchi bali unafuata maslahi Bora kwenye ubunge. Wanaowatumikia wananchi pekee ni Walimu na manesi wengine wengi ni maslahi tu.
Na bado wengi tu mtakuja humu
NAKAZIA✍️Taja jimbo ili tupime maendeleo uliyoyafanya..!!
relax bana,Wewe chawa mabwana zako wamekuvuta mkia umegeuka nyani.
Mawazo yako yakinyani nyani.
Unabisha?
Tabia zenu za kishenzi usidhani zitavumiliwa kwasababu tu tupo mtandaoni.relax bana,
Tunazungumza masuala ya muhimu sana apa kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla 🐒
usizibae wala kubabashwa na mengine
Haija wahi kutokea mwana sii hasa muungwana🤓Yes,
Zito alifanya hivyo pale kigoma mjini lakini hata mimi nilikusudia kufanya hivyo uchaguzi ujao ila wananchi wamegoma niachie ngazi 🐒
kwasabb inafikia mahali kwa mwanasiasa muugwana kabisaa, when you asses yourself unaona kabisaa huna jipya tena la kufanya kwajili ya wananchi na Roho inakutuma kupumzika 🐒
qam Iraq khuakaa
Hivi kwa uharo huu wote jukwaani unakuwaga mbunge?Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.