Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tabia zenu za kishenzi usidhani zitavumiliwa kwasababu tu tupo mtandaoni.

Mnafiki mkubwa wewe.

Rudi kwenye posts zako za nyuma usome unavyoandika kwa unafiki ukitetea uozo wa dhahiri wa mabwana zako.

Ningekuwa hapo karibu ningekupiga rungu ya kichwa.

Shezi kabisa.
sasa unakasirikia mimi kuombwa na wananchi kutetea kiti au hutaki nami niinjoy na waungwana humu Jukwaani 🤣

jitahidi uwe na kifua kipana kuna siku utakua kiongozi utaulizwa swali la hovyo na mwananchi utampiga rungu na utapata shida bure 🐒

Jitahidi kuwa na strong imotional stability achana na muhemko 🐒

hata na hivyo bado haizuui mimi kuchapa kazi ya wanainchi, ntang'ang'ana nayo na kuifanya kwa bidii sana 🐒
 
Hivi kwa uharo huu wote jukwaani unakuwaga mbunge?

Salaalee
uvivu unachochea muhemko 🐒

mie nifanyeje wananchi wamechagua ulichobwabwaja, na mie na chapa kazi tu bila mbambamba yeyote bana 🐒
 
Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.

Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.

Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.

Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.

Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒

Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.

Asanteni sana.
Wananchi wako wanateseka kwa kukosa umeme we unakuna pumbu tu bungeni.Subirini muda wenu unakaribia this time hakuna wizi labda kwa mkulu tu.Nyie wengine mtajua hamjui.
 
Wananchi wako wanateseka kwa kukosa umeme we unakuna pumbu tu bungeni.Subirini muda wenu unakaribia this time hakuna wizi labda kwa mkulu tu.Nyie wengine mtajua hamjui.
huna haja ya kuporomosha lugha isiyo na staha 🐒

uchaguzi wa 2024-25 uko huru, wazi na wa haki. Ni vizur kwa wakati muafaka wanasiasa na wananchi kutumia lugha za staha na za kistaarabu katika kuwasiliana 🐒

Mimi niko tayar kuwatumikia wananchi kwa mara nyingi tena nadhani ya3🐒

huna haja kukasirika nikiwashinda kwa kishindo 🐒
 
sasa unakasirikia mimi kuombwa na wananchi kutetea kiti au hutaki nami niinjoy na waungwana humu Jukwaani 🤣

jitahidi uwe na kifua kipana kuna siku utakua kiongozi utaulizwa swali la hovyo na mwananchi utampiga rungu na utapata shida bure 🐒

Jitahidi kuwa na strong imotional stability achana na muhemko 🐒

hata na hivyo bado haizuui mimi kuchapa kazi ya wanainchi, ntang'ang'ana nayo na kuifanya kwa bidii sana 🐒
Labda mashoga wenzako ndiyo wamekuomba upeperushe bendera yenu.

Watu kama wewe ni wakupigwa vitasa, shenzi waheed.
 
Labda mashoga wenzako ndiyo wamekuomba upeperushe bendera yenu.

Watu kama wewe ni wakupigwa vitasa, shenzi waheed.
Aina za wananchi wanaofanana na wew wapo wengi majimboni pia na hamna namna ya kuwakwepa kwasabb malezi, ulevi wa visungura na hali ngumu ya maisha, huwafanya kuwa na hasira sana huchochea hali hiyo mathalani ulioyonayo, ndio wananchi sasa tunakwendra nao hivyo hivyo tu 🐒

Hata hivyo hiyo bado haizuui kutekeleza majukumu yetu ya kibunge maeneo yote jimboni kwa Ari zaid, kasi zaid na nguvu zaid 🐒
 
Aina za wananchi wanaofanana na wew wapo wengi majimboni pia na hamna namna ya kuwakwepa kwasabb malezi, ulevi wa visungura na hali ngumu ya maisha, huwafanya kuwa na hasira sana huchochea hali hiyo mathalani ulioyonayo, ndio wananchi sasa tunakwendra nao hivyo hivyo tu 🐒

Hata hivyo hiyo bado haizuui kutekeleza majukumu yetu ya kibunge maeneo yote jimboni kwa Ari zaid, kasi zaid na nguvu zaid 🐒
Wewe ni zuzu.

Vitu unaandika ni akili za kinjani nyani.

Jiandae kuvutwa mkia leo.
 
Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.

Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.

Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.

Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.

Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒

Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.

Asanteni sana.
Hongera Sana, kuwaza tu kuwa mbunge ni hatua, wengi wetu tunafikiri hawa viongozi wana upekee saaana! Hawatoki sayari ya Mars, vijana tukamate nafasi! Tuache kulalamika!
 
Back
Top Bottom