Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa akitaja jimbo maana yake ame disclose taarifa zake. Mtu anatumia ID feki halafu unamwambia ataje jimbo.
Amesema wanajimbo wamemlazimisha as amefanya kazi nzuri, afanye kudisclose jimbo tuone hayo mafanikio.
 
wote na nani mnajua nini [emoji851]

hayo ni maoni na mtazamo wako. Enjoy freedom of expressions[emoji205]
Ingekuwa unaomba kuendelea kuwa mwalimu kwa mashahara wa 400k ndio tungejua kweli wewe mzalendo, ila ubunge wa 16M achaa we hata Mimi ningebaki.
 
walimu tutaendelea kuboresha mazingira yao ya kazi na ya kuishi, lakini zaid sana maslahi yao yatamulikwa tena, ili wajitolee zaid katika kuwafundisha wanetu ambao ni Taifa la sasa na Kesho [emoji205]

Si hivyo tu madaktari, matabibu na wauguzi nao wanafanya vizuri sana katika kuihudumia jamii katika eneo la afya. Nako endapo nitarejea mjengoni tena nitahakikisha maslahi yao, mazingira ya kazi na makazi yanapigwa darubini tena ili kuyaboresha zaid!!!

And for your information ,
Jimboni pangu pamoja na changamoto nyingi zilizopo tuliamua kuchagua vipaumbele vitatu tu, kisha jitihada kubwa tukazielekeza huko...
1.Afya
2.Maji
3.Elimu
My friend,
Tumepiga hatua kubwa ajabu hadi raha [emoji205]
Hongera Mheshimiwa kama ni kweli.

Ila walimu ndio wazalendo namba moja Nchi hii
 
Wanajf🤣 wote tunajua unatetea maslahi binafsi. Disclose jimbo kwanza mkuu.
Ile muhimu zaidi ni kwamba I speak to you like I always use to engage with wanainchi jimboni 🐒
Na kwa maneno siwez mrithisha kila moja..

every one anataka hoja yake iskizwe na kujibiwa..
For now itoshe tu kusema nimeskiza maoni na kilio ya wanainchi wangu, nimetafakari sana na kwakweli nimeridhika I deserve to represent the again mjengoni kwa ngwe nyingine 🐒
 
Hongera Mheshimiwa kama ni kweli.

Ila walimu ndio wazalendo namba moja Nchi hii
Asanti sana,

Mi na amini even you ni mzalendo ispokua kwa maoni na mtazamo wako walimu ndio wazalendo no.1 ,
well and good, hamna kitu mbaya 🐒
 
Ingekuwa unaomba kuendelea kuwa mwalimu kwa mashahara wa 400k ndio tungejua kweli wewe mzalendo, ila ubunge wa 16M achaa we hata Mimi ningebaki.
next time tutaingalia hiyo tuone kama tunaweza kuibust na kuiboresha kidogo.
hata hivyo itategemea hali ya uchumi itakavyokua kwa wakati huo 🐒
 
Amesema wanajimbo wamemlazimisha as amefanya kazi nzuri, afanye kudisclose jimbo tuone hayo mafanikio.
nilieleza mapema kwamba ngwe ya kwanza ya uongozi wangu hatukufanya vizur sana lakin tulijitahidi 🐒
Changamoto ilikua ni kubeba vipaumbele vyote jimboni tukawa tunaenda navyo vyote kwapamoja kwa utekelezaji. Hii ilituchelewesha sana kufika maendeleo tulokusudia 🐒

Ngwe hii inayoishia next year tukaamua kwenda na vipaumbele vichache vinavyotegemeana sana, yaani
Maji,
Afya na
Elimu
Tuliona hivyo v3 tukifanikisha basi vipaumbele vinginevyo vyote itakua ni rahisi sana kuvifikia.
Maana yake kukiwa na huduma hizo huhimu kwa uhakika na vya kutosha, mathalani maji yapo ya kutosha, afya madaktari na madawa ya kutosha, watu wamepewa elimu ya msingi, elimu ya biashara, kilimo na ufugaji mengine yanajipa tu au sio 🐒
 
Utatusaidiaje kwenye suala la umeme na sukari?
Jambo hilo ni la kisekta,

na binafsi nimpongeze sana waziri mwenye dhamana kwa hatua ambazo ameshachukua lakini pia hatua ambazo anaendelea kuzichukua pia 🐒

nitoe wito kwa waziri wa biashara nae kuongeza katika Jambo hili 🐒🐒
 
Jambo hilo ni la kisekta,

na binafsi nimpongeze sana waziri mwenye dhamana kwa hatua ambazo ameshachukua lakini pia hatua ambazo anaendelea kuzichukua pia 🐒

nitoe wito kwa waziri wa biashara nae kuongeza katika Jambo hili 🐒🐒
Kirahisi rahisi tu, unakula milioni 16 😀
 
Kirahisi rahisi tu, unakula milioni 16 😀
Kaz ya kuongoza wananchi wenye shida, matatizo na IQ tofauti ni kazi ngumu na kubwa mno usifanye mchezo 🐒

Achilia mbali kazi kutunga Sheria za nchi, kujadili na kupisha bajeti ya nchi 🐒

unadhani bila kua kiongozi mwenye ngozi ngumu kisiasa unaweza vumilia vijembe, kebehi, mabezo, dharau, dhihaka na mihemko namna hii.
Ni Lazima uwe bright kichwani na smart ktk uongozi 🐒
 
Wewe ndio yule mbunge mpiga sarakasi
mimi sarakasi najua lakini yule si mimi 🐒
Sambasoti, shu-Fan, ishi, stua zote naruka mbaya sana aise 🐒

Lakini pia kazi ya wananchi naifanya kwa bidii kabisaa...
 
Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.

Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.

Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.

Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.

Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒

Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.

Asanteni sana.
Duuh wee mama unakula tuu mema ya nchi peke ako afu ushanogewa una taka Tena, ama kweli pesa tamuu
 
Duuh wee mama unakula tuu mema ya nchi peke ako afu ushanogewa una taka Tena, ama kweli pesa tamuu
ni kilio cha wananchi wenyewe na ni hitaji lao katika utumishi wa Jimbo 🐒

ni kwa maslahi mapana ya wanainchi wa Jimbo langu na Taifa kwa ujumla 🐒
 
Back
Top Bottom