Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Halafu kwenye Elimu mmetengeneza janga lingine kupitia sera mpya ya Elimu.

Mmeweka ugumu wa watu kuingia kwenye Ualimu bila kuweka motisha ya watu kupenda Ualimu.
ni mapema mno kupima ufanisi au kasoro kwa sasa..
tuipe muda kidogo...

nadhani tunapoelekea kwenye utekelezaji, kwenye tathmini ya muda mfupi, nuda wa kati na mrefu juu ya mwenendo wa sera yenyewe, ikionekana haina tija iliyokusudiwa nadhani italazimika wadau kukutana tena na kufanya maboresho ili ilete tija zaid...
 
Yah onesheni ubinadamu kidogo hata nchi itapata maendeleo kidogo kuliko Hali ilivyo sasa.

Kati ya watumishi laki saba ni watumishi 2000+ tu ndio wanakula vizuri keki ya Taifa Huku wengine wakiishi Kwa mateso makubwa na hali duni.

HII NI HATARI HATA KWA USALAMA WA TAIFA.
keki ya Taifa ni haki ya kila Mtanzania.

Na kila Mtanzania anaifurahia keki hiyo kwa nanma tofauti tofauti, mathalami katika uhuru wa kujieleza na kukusanyuka, kwenye huduma za jamii kama vile maji, elimu, afya, miundombinu. Lakini pia ulinzi na usalama wa watu na mali zao. Amani na utulivu iliyopo ni matokeo ya keki ya Taifa kutumika vema kwa maslahi mapana ya nchi na waTanzania wote...
 
Back
Top Bottom