Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sauti na vilio vya wananchi kuhusu kuwaongoza tena kwa ngwe nyingine ya miaka mi5 hapo mbeleni...🐒Vilio gani mwizi we
Hii emoji ya nyani vp Ako dorenshukran sana 🐒
suala la kula pesa na pengine kufaidisha hao ulowataja ni uchaguzi wa mtu kulingana na malezi ..🐒Hizo hela hatuzili ukipata hutufaidishi kwendra ji hawara zako tu ndio watafaidika ikute ni wao ndio wamekupa akili
nashukuru kwa changamoto ya staha, haina shida,haidhurKwasababu hujasema ni Jimbo gani utatetea, basi wewe ni mpuuzi tu!
niko tayari kwa changamoto ya hoja, mikakati na mipango ya wengine mbele ya wanainchi 🐒Kama uko CCM utabwagwa na ma CHADEMA! 2020 mlipita kwa mbinde!
Hawezi taja jimbo huyo ametumwa kupima upepo na kauli za wadauTaja Jimbo Tuje kukusupport !!
Kuwaletea maendeleo wapi, mko pale kutetea matumbo yenu tu! Vitu vingapi vya kijinga mmepitisha bila kujali maslahi ya wananchi? Mbunge wa Tanzania mimi hawezi kuniambia kitu! Tena kama haya ya CCM ndiyo bure kabisa!niko tayari kwa changamoto ya hoja, mikakati na mipango ya wengine mbele ya wanainchi 🐒
Na actually hiyo itaashiria uhai, ukomavu na kuimarika kwa Demokrasia nchini, lakini pia itachochea bidii zaidi katika kazi ya kuwaletea wanainchi maendeleo 🐒
hakuna tatizo kwenye hilo yeyote awe huru, anakaribishwa sana kuja kunipa changamoto ili kuchochea ubunifu na ari zaidi ya maendeleo Jimboni 🐒
Eti naye anajitapa yuko pale kuwapambania wananchi!Hawezi taja jimbo huyo ametumwa kupima upepo na kauli za wadau
Uko sahihi🐒,Hawezi taja jimbo huyo ametumwa kupima upepo na kauli za wadau
sasa ndugu yangu mwananchi,Kuwaletea maendeleo wapi, mko pale kutetea matumbo yenu tu! Vitu vingapi vya kijinga mmepitisha bila kujali maslahi ya wananchi? Mbunge wa Tanzania mimi hawezi kuniambia kitu! Tena kama haya ya CCM ndiyo bure kabisa!
Zile nafasi zenu maalum si zipo?Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.
hii sio nafasi maalum🐒Zile nafasi zenu maalum si zipo?
Uongoo uongoosuala la kula pesa na pengine kufaidisha hao ulowataja ni uchaguzi wa mtu kulingana na malezi ..🐒
Lakini kimaadili,
si sawa kwa kiongozi wa wanainchi kuwa mfujaji wa hela kwenye anasa 🐒
kwa sisi tulipitia mafunzo ya maadili, weledi katika kazi na umakini katika kuamua mambo muda wa anasa unakua hakuna kabisa..
Ni kazi, kazi, kazi kwendra mbele 🐒
huo ni mtazamo na maoni yako na uko huru kuyatoa 🐒Uongoo uongoo
Aaah.... Lakini ninyi wanawake mkiwezeshwa mnaweza.hii sio nafasi maalum🐒
wananichi wameniomba niwatumikie tena ngwe ijayo kama mbunge wa Jimbo.
maana yake tunashindanisha sera, mikakati na mipango ya mabadiliko na maendeleo na wawaniaji wengine wa vyama vingine mbele ya wananichi 🐒
si kazi rahisi,
lakini kwa Neema na Baraka za Mungu yote yanawezekana.
Tuombee uchaguzi ujao uwe huru, wa haki na wa wazi zaidi.
ninao baadhi wanainchi jimboni wa aina yako, ni wanainchi wangu, na ni binadamu, sina namna wala cha kuwafanya, Lazima kwendra nao kadiri ya hivyo walivyo, maana hakuna namna ingine 🐒Aaah.... Lakini ninyi wanawake mkiwezeshwa mnaweza.
Umemaliza kila kitu.ninao baadhi wanainchi jimboni wa aina yako, ni wanainchi wangu, na ni binadamu, sina namna wala cha kuwafanya, Lazima kwendra nao kadiri ya hivyo walivyo, maana hakuna namna ingine 🐒
kazi hizi za siasa ni ngumu sana ndrugo zangu, zinahitaji subra na ustahimilivu sana vinginevyo kazi itaharibika 🐒