Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Msalimie mzee wako![emoji205]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie mzee wako![emoji205]
Basi ndio wewe manake hata hilo jina lako asili yake ni kuleemimi sarakasi najua lakini yule si mimi 🐒
Sambasoti, shu-Fan, ishi, stua zote naruka mbaya sana aise 🐒
Lakini pia kazi ya wananchi naifanya kwa bidii kabisaa...
Njoo nikuoe basi mama lake tule bata wote mremboni kilio cha wananchi wenyewe na ni hitaji lao katika utumishi wa Jimbo 🐒
ni kwa maslahi mapana ya wanainchi wa Jimbo langu na Taifa kwa ujumla 🐒
kusema Ukweli wananchi wa aina yako wanapatikana majimbo mengi humu nchini, na niwananchi waliovurugwa kweli kweli na maisha na katika baadhi ya maeneo vimejengwa vituo vya usaidizi ili kujaribu kuwanusuru wasiharibike zaid 🐒Njoo nikuoe basi mama lake tule bata wote mrembo
Saß mbona umeingia humu na id bandia ?? Wewe ni sasa😅😅Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.
hayo ni maoni na mtazamo wako binafsi.Hili ni tapeli wala halina ubunge wowote
Yani mi nakuchumbia unasema afya ya akili?!!!! wee ka vipi njoo inbox tuyajenge mama lake, nataka nikuoe baby, uwe mke wangu sawakusema Ukweli wananchi wa aina yako wanapatikana majimbo mengi humu nchini, na niwananchi waliovurugwa kweli kweli na maisha na katika baadhi ya maeneo vimejengwa vituo vya usaidizi ili kujaribu kuwanusuru wasiharibike zaid 🐒
Tatizo la afya ya akili ni dhahiri linasumbua vijana wengu 🐒
Tutakusakudia kabla hujaharibika na maeneo mengine, jiweke wazi 🐒
Sawa kiongozi.Kidogo umeonesha busara katika kujibu ila hizo busara zitatue suala la umeme.Siyo mnakaa tu bungeni kupiga viti.Aina za wananchi wanaofanana na wew wapo wengi majimboni pia na hamna namna ya kuwakwepa kwasabb malezi, ulevi wa visungura na hali ngumu ya maisha, huwafanya kuwa na hasira sana huchochea hali hiyo mathalani ulioyonayo, ndio wananchi sasa tunakwendra nao hivyo hivyo tu 🐒
Hata hivyo hiyo bado haizuui kutekeleza majukumu yetu ya kibunge maeneo yote jimboni kwa Ari zaid, kasi zaid na nguvu zaid 🐒
Issue ya umeme ni ya Kitaifa,Sawa kiongozi.Kidogo umeonesha busara katika kujibu ila hizo busara zitatue suala la umeme.Siyo mnakaa tu bungeni kupiga viti.
Kama uko CCM utabwagwa na ma CHADEMA! 2020 mlipita kwa mbinde!Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.
Kwasababu hujasema ni Jimbo gani utatetea, basi wewe ni mpuuzi tu!Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.
Pole sana.Mzee wangu alishaenda zake, aliumaliza mwendo kitambo kidogo katika dunia hii.
Daima namuombea kwa Mungu apumzike anapostahili kwa Amani [emoji2960]