The Conspiracist
Member
- May 12, 2019
- 60
- 102
- Thread starter
- #21
Sawa kabisa mkuu.Achana nae asikukatishe tamaa, wanawake wema popote pale wapo, mimi nimepata mke humu, narudia tena NIMEPATA MKE HUMU, sio masihara wala kufurahisha baraza, mimi mke wangu NIMEMPATIA HUMU.
Naamini pia anaweza kupatikana kokote