Nakutana na treni ya umeme ikiwa tupu/ haina abiria

Nakutana na treni ya umeme ikiwa tupu/ haina abiria

Status
Not open for further replies.

strongest

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2024
Posts
343
Reaction score
1,562
Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache

Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.

ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.

Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar

Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
 
kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni??.

ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.

bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar

ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za sgr
Ebu sema kweli? Nenda kwenye booking utakuta seat zimejaa wiki nzima hadi uende dirishani ukatoe rushwa ndo upate ticket.
 
M
Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache

Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.

ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.

Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar

Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
ABiria wa train ni wengi sana hasa asubuhi
 
Abiria sio lengo kuu la Treni ya SGR. Hao ni nyongeza tu ni zawadi tu ya raia walipa kodi wasafiri haraka. Ila hawana faida ya kipesa kwa sgr. Ndio maana nchi zingine abiria wanasafiri bure tu kwa sgr. Maana nauli zao ni kama hasara tu

Ila nauli za abiria haziwezi kurudisha gharama za uwekezaji wa sgr

Magufuli mwenyewe alieleza wazi lengo kuu la sgr. Na gharama na faida zitapatikanaje..

Mizigo yaani kubeba makontena ndio sababu kuu ya magufuli kuwekeza ma trilioni ya fedha kujenga sgr
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom