- Thread starter
- #61
chukulia umepanga mafiriji kumi horizontallyNawaza mfano nimewasha oven yangu na kuweka mikate mitano na baadae nikaweka mkate mmoja au miwili... Je kutakuwa na tofauti ya matumizi ya umeme?
Hiki ndicho ulikuwa umekilenga na kiko moyoni mwako.
Achana na mindset au akili ya kimaskini.
Nani kakudanganya waTanzania wengi hawawezi nauli hiyo? Mfano Dar Moro au Dom nauli daraja la tatu ni sawa na nauli ya basi. Kwahiyo waweze kulipa nauli hiyo kwenye mabasi halafu kwenye SGR treni nauli iwe kubwa.
Au ulitaka upande daraja la kwanza na la pili kwa shs 13,000 kwenda Dar Moro.
sawa mkuu yawezekana nyie ndo mnalamba asali na kutafuna keki ya taifa bila kujali maisha halisi ya watanzania