mfano umeme , grease,n.kUnakuwa unabana matumizi upande wa nini ukipunguza mabehewa labda
Ebu sema kweli? Nenda kwenye booking utakuta seat zimejaa wiki nzima hadi uende dirishani ukatoe rushwa ndo upate ticket.kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni??.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za sgr
Anhaa litatumia umeme kidogo likiwa na mabehewa machache. Nilidhani ungesema kuwa tungetunza mabehewa kwaajili ya siku nyinginemfano umeme , grease,n.k
Labda wanazilipia wenyewe huwezi jua ila treni linatembea bila abiria tusubirie kusikia hayo matrillion ya faida walizoingizaEbu sema kweli? Nenda kwenye booking utakuta seat zimejaa wiki nzima hadi uende dirishani ukatoe rushwa ndo upate ticket.
ABiria wa train ni wengi sana hasa asubuhiKila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Kwani nguvu ya Kubeba Behewa 10 ni sawa na kubeba behewa 4?Unakuwa unabana matumizi upande wa nini ukipunguza mabehewa labda
Kumbe zinajaa kwa malengo ya Rushwa?Ebu sema kweli? Nenda kwenye booking utakuta seat zimejaa wiki nzima hadi uende dirishani ukatoe rushwa ndo upate ticket.
Nawaza mfano nimewasha oven yangu na kuweka mikate mitano na baadae nikaweka mkate mmoja au miwili... Je kutakuwa na tofauti ya matumizi ya umeme?Kwani nguvu ya Kubeba Behewa 10 ni sawa na kubeba behewa 4?
Watalaam wa Mechanics g
tusaidieni hapa
ITatake time kwenye Heat Consuption mkuu.Nawaza mfano nimewasha oven yangu na kuweka mikate mitano na baadae nikaweka mkate mmoja au miwili... Je kutakuwa na tofauti ya matumizi ya umeme?
Nahisi hivo pia. sijui kakutana na Sgr ya wapi?Mtoa mada muongo
Wateja ni wengi mnoo kiasi kwamba hata kukata tiketi ni kuvizia mtu akichelewa kuilipia ndio wewe uidakeDuuh ila sijawahi safiri nalo na empty seat.
Unakumbuka abiria kwenda morogoro kwa buku? Ni wafanyakazi walikuwa wananunua tickets za bukubuku halafu wanauza 30000 kisha wanawalinda hao abiria wao hadi morogoro,Kumbe zinajaa kwa malengo ya Rushwa?