Matajiri wanasiasa wenye malori yakusafirisha mizigo watakubali kutoka barabarani?Abiria sio lengo kuu la Treni ya SGR. Hao ni nyongeza tu ni zawadi tu ya raia walipa kodi wasafiri haraka. Ila hawana faida ya kipesa kwa sgr. Ndio maana nchi zingine abiria wanasafiri bure tu kwa sgr. Maana nauli zao ni kama hasara tu
Ila nauli za abiria haziwezi kurudisha gharama za uwekezaji wa sgr
Magufuli mwenyewe alieleza wazi lengo kuu la sgr. Na gharama na faida zitapatikanaje..
Mizigo yaani kubeba makontena ndio sababu kuu ya magufuli kuwekeza ma trilioni ya fedha kujenga sgr
Tuzungumze jiko kwanza kwenye kutoka mkate au haihusiani.ITatake time kwenye Heat Consuption mkuu.
Totak energy required itapanda na iko proportional na Units za umeme utakaotumika.
Yes tulisikia hii. Tukadhani ni janja janja ya abiria kumbe Wachawi wamo ndaniUnakumbuka abiria kwenda morogoro kwa buku? Ni wafanyakazi walikuwa wananunua tickets za bukubuku halafu wanauza 30000 kisha wanawalinda hao abiria wao hadi morogoro,
Naongelea jiko la umeme wewe unaongelea la Mkaa?Tuzungumze jiko kwanza kwenye kutoka mkate au haihusiani.
OnaDuuh ila sijawahi safiri nalo na empty seat.
Huenda abiria walikuwa wamelalaKila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Mizigo ipi? niambie mfano Volume ya mizigo ilioko kanda ya ziwa ya kubebwa na Treni ya SGR na oia mingine ibebwe na malori, Pamba nibzao pekee lililo kuwa libategemewa now limekufa.Abiria sio lengo kuu la Treni ya SGR. Hao ni nyongeza tu ni zawadi tu ya raia walipa kodi wasafiri haraka. Ila hawana faida ya kipesa kwa sgr. Ndio maana nchi zingine abiria wanasafiri bure tu kwa sgr. Maana nauli zao ni kama hasara tu
Ila nauli za abiria haziwezi kurudisha gharama za uwekezaji wa sgr
Magufuli mwenyewe alieleza wazi lengo kuu la sgr. Na gharama na faida zitapatikanaje..
Mizigo yaani kubeba makontena ndio sababu kuu ya magufuli kuwekeza ma trilioni ya fedha kujenga sgr
Hiyo treni ni mali ya mama wa CCM kwahiyo serikali haipati hasara.Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Mfano joto 140 time 40min ndio mkate unaiva.... Je ikiwa mingi itakuwa tofauti na mmoja??Naongelea jiko la umeme wewe unaongelea la Mkaa?
Mimi sijawahi pikia Mkaa.
Msipotoshe vitu Kwa kuongea maneno msiyo na uhakika nayo.Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Halafu wakati unaiona tupu inakatiza, jaribu wakati huo huo kufanya online booking unakuta imejaa tangu juzi yake mpaka keshokutwa yake.Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Nitakukumbusha tu kama ulisoma Physics kidogo.Mfano joto 140 time 40min ndio mkate unaiva.... Je ikiwa mingi itakuwa tofauti na mmoja??
Namlaumu sana Jiwe kwenye hizi SGR na mwenzake naye Mama ni yale yale.Halafu wakati unaiona tupu inakatiza, jaribu wakati huo huo kufanya online booking unakuta imejaa tangu juzi yake mpaka keshokutwa yake.
Kadogosa amelalamika anahujumiwa na wakubwa serikalini akapigwa spana hatare
Hahaha eti zinaamua kubebana kupunguza matumizi au?SGR ni hasara tupu, wengi tunashangilia kama jadi yetu ila hizo SGR zitatembeza mabehewa tuou hasa kutoka mikoani. Kutoka Dar zitabeba bidhaa za kichina kutoka Bandarini na kurudi Dat zitakuja tupu. Malori yenumyewe yanarudi tupu, labda waotee matebmbga ya nyanya njianiz ya kutoka Iringa yaotee viazi na ile hiwa sio offiscial ni dili ya Madereva.
Kanda ya ziwa Kilimo cha Pamba kisha jigia watabeba nini? Samaki ziwa Victoria? hakuna samaki mule kwa sasa?
Kaaa maeneo ya Usagara Mwanza uone lori zinavyo ondoka Mwanza tupu zingine zinaamua kubebana.
10%Namlaumu sana Jiwe kwenye hizi SGR na mwenzake naye Mama ni yale yale.
SGR ilipaswa kuwa na part 2, part ya ujenzi wa reli na part ya kuwekeza kwenye project hasa za kilimo ili kupata mizigo, Saaa tunajenga SGR mizigo hadi sasa malori yanakosa, vipi SGR ikianza?
Mkuu umeandika muhtasari wa madini adimu.Namlaumu sana Jiwe kwenye hizi SGR na mwenzake naye Mama ni yale yale.
SGR ilipaswa kuwa na part 2, part ya ujenzi wa reli na part ya kuwekeza kwenye project hasa za kilimo ili kupata mizigo, Saaa tunajenga SGR mizigo hadi sasa malori yanakosa, vipi SGR ikianza?
Station ya Magufuli na ya Dodoma yaani zinafurika muda wote.Wateja ni wengi mnoo kiasi kwamba hata kukata tiketi ni kuvizia mtu akichelewa kuilipia ndio wewe uidake