Wewe ni muongo. Hiyo kila siku unakuwa wapi?Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Sawa mtaalamu wa Fizikia. Kwahiyo kwa namna hii mabehewa yakiwa mengi yafahitaji nishati kubwa kuliko yakiwa machache.Nitakukumbusha tu kama ulisoma Physics kidogo.
Ili Mkate mmoja uchemke hafi kufikia 140degree unahitaji kiasi fulani cha Heat Energy( Heat Capacity)
Amount inayofanya mikate miwli ichemke hadi 140C inakuwa nyingi kuliko Mkate mmoja. Muda unaweza kuwa ule ule.
mkuu hakuna mizigo ya kubebwa na SGR yaani haipo kabisa labda kutoka Babdarini Dar ila kupeleka Dar hakunaMkuu umeandika muhtasari wa madini adimu.
Nakuunga mkono
Tuajiri wasafiri kila siku kusafiriKila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Zile LCD zilizojengwa huko njiani ni ubadhirifu mkubwa kama hazitumikimkuu hakuna mizigo ya kubebwa na SGR yaani haipo kabisa labda kutoka Babdarini Dar ila kupeleka Dar hakuna
Siyo rahisi abiria wa kwenda Pugu aamke saa 9 za usiku aende kufoji ticket ya kwenda morogoro bila kuwepo mchongo na wafanyakazi wa SGR. Serikali haina akili tuu unawekaje tickets za kwenda Pugu halafu abiria ws dodoma anakosa seat anapanda anaeenda Pugu kwa buku? Hata kama kweli atashuka Pugu? Hiyo seat maana yàke imeenda Moro kwa malipo ya buku tu.Yes tulisikia hii. Tukadhani ni janja janja ya abiria kumbe Wachawi wamo ndani
TrueSiyo rahisi abiria wa kwenda Pugu aamke saa 9 za usiku aende kufoji ticket ya kwenda morogoro bila kuwepo mchongo na wafanyakazi wa SGR. Serikali haina akili tuu unawekaje tickets za kwenda Pugu halafu abiria ws dodoma anakosa seat anapanda anaeenda Pugu kwa buku? Hata kama kweli atashuka Pugu? Hiyo seat maana yàke imeenda Moro kwa malipo ya buku tu.
😁😁Namshukuru mama samia SGR kwa kutembea bila abiria
Mkuu una taarifa ya kuanza uzalishaji wa cobalt kabanga na burundi mwaka 2025?mkuu hakuna mizigo ya kubebwa na SGR yaani haipo kabisa labda kutoka Babdarini Dar ila kupeleka Dar hakuna
Rushwa 🫢🫢🫢Ebu sema kweli? Nenda kwenye booking utakuta seat zimejaa wiki nzima hadi uende dirishani ukatoe rushwa ndo upate ticket.
Acha uongo mzeeUnakumbuka abiria kwenda morogoro kwa buku? Ni wafanyakazi walikuwa wananunua tickets za bukubuku halafu wanauza 30000 kisha wanawalinda hao abiria wao hadi morogoro,
Royal clasa ndo inayowahi kujaa kuliko hata hiyo economy ambayo wewe unaita 3rdPengine upo kituo cha kwanza huko Dodoma, ujue kuna watu wengi kabisa wanapanda njiani
Lakini pia unaweza kuwa una angalia daraja la kwanza/ business ambapo ni behewa moja, hayo ndio yanaweza kusafiri tupu ila huko 3rd kumejaa muda wote.....
Wabane matumizi ya mafuta na Madereva😁😁!Unakuwa unabana matumizi upande wa nini ukipunguza mabehewa labda
mrangi alitabiri humu mwanzo mwanzo ilipoanza watu walivyokuwa na wenge kugombania kuipanda akaipa ndani ya miezi sita tu.Kila siku naiona treni ya umeme inakatiza mitaa flani mabehewa yakiwa matupu au abiria ndani wachache
Ila inachanja mbuga hivyo hivyo kuelekea dodomana kurudi dar kulikoni?.
ushauri kama abiria ni wachache mabehewa yapunguzwe ili kubana matumizi.
Bora mabehewa yawe mawili au matatu yajae kiliko kupeleka na kurudisha mabehewa matupu dar -dodoma-dar
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR
Yale si nasikia ni ya umeme?Wabane matumizi ya mafuta na Madereva😁😁!
Sema Magufuli hayupo, ungekuwa jela saa hii. Shukuruni mmeruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zenu.Acha uongo mzee
Hiki ndicho ulikuwa umekilenga na kiko moyoni mwako.Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawamudu gharama za SGR