jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Makabila ya kifugaji Wazazi na ndugu wanapenda sana na kueshimu wake wa watoto wao hawana mambo ya kiswahili.Na kadiri siku zinavyoenda ndio nazidi kumpenda....ni furaha sana ukipendwa ukweni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makabila ya kifugaji Wazazi na ndugu wanapenda sana na kueshimu wake wa watoto wao hawana mambo ya kiswahili.Na kadiri siku zinavyoenda ndio nazidi kumpenda....ni furaha sana ukipendwa ukweni
Kabisa yaan tuko huru sanaMakabila ya kifugaji Wazazi na ndugu wanapenda sana na kueshimu wake wa watoto wao hawana mambo ya kiswahili.
Mchizi mmoja akanionya bora uoe shoga kuliko mkibosho. DaahNiliambiwa kuwa, huko wanawake wana nguvu sana ndani ya ndoa kuliko wanaume kitu ambacho hakitakiki kabisa ndani ya ndoa.
Kutokana na mwanaume kuwa chini, ambavyo sio nature, mwanaume atapita ktk mateso ya akili na nafsi, hapo ndipo kicho kinapokujia.
Pili, niliambiwa wanawake wa huko wana ubabe na kutaka uhuru zaidi ktk maisha yao, mkifika hatua fulani ya mafanikio, sio rahisi mwanamke akawa na ww moyoni mwake. Hapo atatamani uondoke duniani ili awe huru zaidi.
Tatu, ni watu wanaojali kujenga makwao na familia za kwao zaidi kuliko kitu kingine.
Kwahiyo mkuu niliambiwa hayo ila mimi kama mimi Allen, nathibitisha haya baada ya kukaa nae ktk mahusiano kwa almost 2 years.
1. UJEURI.
2. UKATILI.
3. HASIRA NA VISASI.
4. TAMAA ZA MALI, HAKUWAHI KURIDHIKA HATA UMHUDUMIE VIPI.
5. KUJISIKIA, SIFA N.K
Alikuwa sahihi, vipi yeye alikueleza wakoje?Mchizi mmoja akanionya bora uoe shoga kuliko mkibosho. Daah
Ni kama ilivyoelezwa tuAlikuwa sahihi, vipi yeye alikueleza wakoje?
Hapafai huko mkuu ila naamini sio wote.Ni kama ilivyoelezwa tu