Nakuwa muwazi. Nashukuru, nilisaidiwa kumpata wa kunioa na rafiki yake mama

Na kadiri siku zinavyoenda ndio nazidi kumpenda....ni furaha sana ukipendwa ukweni
Makabila ya kifugaji Wazazi na ndugu wanapenda sana na kueshimu wake wa watoto wao hawana mambo ya kiswahili.
 
Mchizi mmoja akanionya bora uoe shoga kuliko mkibosho. Daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…