donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Soo tigopesa tu mkuu, wengine hapa tunacheza na TTNadhani the issue hapa sio kuchekea chekea wanaume hovyo bali ni unajaribu kuchekea wanaume unaohisi wanapesa ndefu,
Mi nadhani mkae muongee na shemej ajitahidi kukutumia pesa mara kwa mara ili hako kaugonjwa cha kuchekelea pesa za watu uache faster,
Mwambie Shem hizo I love you so much ziambatane na mihamala ya tigopesa /mpesa
Hiyo tigopesa ni nanyupu ndio amtumie sio wewe mkuu
Naelewa mkuu, what I meant ni kwamba kuna wengine miamala yetu mikubwa zaidi hivyo mwambie shosti yako achague fungu lililo jema. Asije akajikuta amepiga teke kapu la sadakaHiyo tigopesa ni nanyupu ndio amtumie sio wewe mkuu
Yiiiiiii.nangho ulinamakoye.abiyo balilulunga jiswahili ubebe nangho ulihomoka kingi djhu.Fisi Nyekundu umependwa huku.
Nduhu makoye ung'anike uyu ogukaya nangu?Yiiiiiii.nangho ulinamakoye.abiyo balilulunga jiswahili ubebe nangho ulihomoka kingi djhu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naelewa mkuu, what I meant ni kwamba kuna wengine miamala yetu mikubwa zaidi hivyo mwambie shosti yako achague fungu lililo jema. Asije akajikuta amepiga teke kapu la sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahhaha alafu limekuja balaaa !kijana mbichiiiiiiiii soon na mie naonekana kijana dadek zao hawa ! sema kila sms ikiingia nafikriaga tigopesa tu nadhan miss chaga na espy wameniachia hii aisee !jana ash naona sms ya tgps nikakshussha pumzi nikajua school fees !mwe kumbe gawio tena sh 5/
We nawe mbona unachekea wanaume hovyo hovyo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shem ana wivu ila mkewe anapenda mihamala [emoji23][emoji23][emoji23]Uwiii!, Ney shoga Mbiti analo...LOL!
Shem ana wivu ila mkewe anapenda mihamala [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah!, naona hiyo ndo yenyewe.
Tutajuaje kama anampenda kweli bila wivu etii?
Shem akiwa hivi ndo pouwa lakini tunajua kamdondokea haswaa!, anaonyesha kuwa him, and him alone is for Mbiti, ndio yeye and yeye alone and no one else period.
Sio mtu yupo yupo tu, hisia zero, wivu zero, hata na kwingine kutakuwa zero..
Don punguza vishawishi kwa bibi harusi wetu mtarajiwaNaelewa mkuu, what I meant ni kwamba kuna wengine miamala yetu mikubwa zaidi hivyo mwambie shosti yako achague fungu lililo jema. Asije akajikuta amepiga teke kapu la sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa shemeji yake mtu ila ngoja nikukumbushe kitu wivu bila mihamala is functionless kwa huyu bibie anashindwa tuu kuwa wazi ndio maana haishi kujichekesha kwa wahusika wengine hususani wakimtamkia habari za pesa, Shem yeye ajipange tuu maana bibie ananusa pesa utadhani kazaliwa benki [emoji125][emoji125][emoji125]
Hahah, samahani mkuu. Where are my manners? Ila biharusi aangalie tu asije akawa anapotea ramani maana unapobahatika kupendwa na mtu mwenye title ya 'Don' la kwanza kabla ya yote ni kuwahi kanisani ukatoe ushuhuda mbele za watu maana hapo byebye ufukara. Yaan nimemwondolea binti 'kismart cha paka' kupendwa na wachawi....Don punguza vishawishi kwa bibi harusi wetu mtarajiwa
Hahah, samahani mkuu. Where are my manners? Ila biharusi aangalie tu asije akawa anapotea ramani maana unapobahatika kupendwa na mtu mwenye title ya 'Don' la kwanza kabla ya yote ni kuwahi kanisani ukatoe ushuhuda mbele za watu maana hapo byebye ufukara. Yaan nimemwondolea binti 'kismart cha paka' kupendwa na wachawi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh basi ngoja nizingatie mkuu, ningalie hata luziboli humuhumuMmh muachie tu shemeji yetu bana, wewe Don unaweza kupata manzi mwingine mbona.
Haha utapata tu
Wanavyozidi kuchelewa wanajicheleweshea wenye miamalaHaha utapata tu
Haha shauri zao, afu waje walalamike wanaume wachache