Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Hahah, samahani mkuu. Where are my manners? Ila biharusi aangalie tu asije akawa anapotea ramani maana unapobahatika kupendwa na mtu mwenye title ya 'Don' la kwanza kabla ya yote ni kuwahi kanisani ukatoe ushuhuda mbele za watu maana hapo byebye ufukara. Yaan nimemwondolea binti 'kismart cha paka' kupendwa na wachawi....

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha ahsante sana Don
Niko naufatilia uzi mubashara hapa kabisa....
IMG_20170830_225915.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa Don naona kwenye suala zima la kunywa na kula upo vizuri sana
1 Corinthians 15:32 ' Let's eat and drink for tomorrow we shall die'.'....
Halafu umeona mkuu, sio kina nanyupu wazee wa balimi, tunakunywa vitu brandi vitu imported yaan hata ukilala unaota unanunua shares kwenye NYSE sio mambo ya kulala unaota jirani anakuroga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom