Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Toka hapa nawewe unazingua
Unaagiza pepsi halafu unasubiria jibu kwa watoto wanaoshusha King roberts na Heinken?
Hiyo si disqualification mojawapo?
[emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka hapa nawewe unazingua
Hahaha...hii thread na majibu kama haya yananichekesha sana.nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !
nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!
popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !
tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!
pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli
NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema
sawa mkuu.Wale mliokuwa mnanitisha tisha sasa mko wapi, mtaisoma namba mwenzen ndan ya penz zito na baby mbiti
Sent using Jamii Forums mobile app
daah,sawa.nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !
nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!
popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !
tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!
pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli
NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema
Umejuaje kama anatumia hayo making robert?Toka hapa nawewe unazingua
Unaagiza pepsi halafu unasubiria jibu kwa watoto wanaoshusha King roberts na Heinken?
Hiyo si disqualification mojawapo?
[emoji23] [emoji23]
Wewe cheka tu wenzako twapendanaHahaha...hii thread na majibu kama haya yananichekesha sana.
Wabillah Tawfiq,
Ahaaa jamaaa ulikuwa unatisha na kunikatisha tamaa kinoma sasa yako wapiJonah
DJ sepetu
If wishes were horses....Geita katoro ni nyumban kwa wazaz lakin sisi baby tutaish MWANZA IGOMA maana ndo nakoish
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa pambana tu na hali yako mkuu, ndo ishakuwa hivyo tena huna chakosawa mkuu.
Sijakataa mkuu...na nakutakia kila la heri ndugu yangu.
Atapimwa mkojoKupenda penda vilivyo vyawatu ujiandae kwa Lolote!
Maua ktk avatar waachie wadada tukutofautishe vipi Na mbiti sasa[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeuaMaua ktk avatar waachie wadada tukutofautishe vipi Na mbiti sasa[emoji23]
Mbiti huyu mtu wako vipi au...
DJ sepetu
Nimeweka tu kwa leo nikionesha upendo wangu kwa babyMaua ktk avatar waachie wadada tukutofautishe vipi Na mbiti sasa[emoji23]
Mbiti huyu mtu wako vipi au...
DJ sepetu
Hahaha...hii thread na majibu kama haya yananichekesha sana.
Wabillah Tawfiq,