Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Daaah, kumbe ki(masihara)² humu ndani unaweza ukajing'olea goma kibwereree kama una nawa, mchawi bando tu na confidence ya kufungUa uzi na kuruka nao kisamasoti. Ngoja ninywe puturuu namimi nijilipue japo kwa mkuu mmoja nijing'olee goma kimdebwedo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom