Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Hhahahaha mi dume la mbegu mkuu, au nimeandika kike nini hapo?!!!😳😳😳Mkuu wee ke au me?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhahahaha mi dume la mbegu mkuu, au nimeandika kike nini hapo?!!!😳😳😳Mkuu wee ke au me?
Yakhe wanitamanisha...hao ngisi urojo na pweza yakhe Sesten Zakazaka:Mnanipitia au niwapitie mimi? Time zenyewe ndio hizi mjue
Uzuri viwanja vyetu na bata zetu ni za kipwanipwani, haviwezi kufanya mtu akafilisika kama mleta uzi halafu anabaki na majuto ni mjukuu, ushaona wapi ngisi na pweza za Babu Juma, urojo wa Makame zikamfilisi mtu?😛😛😛
Mmmhh!! Hao ukifulia nao wanakukimbiaHebu muulize hakuwekeza kwa mchuchu wakati mambo yapo kwenye mstari? Maana wachuchu wanakumbuka sana fadhila ujue😎😎😎
Kutamanishana jamani ngisi, pweza na vijichachandu kidogoMie nasubiri kupitiwa hapa kwa kweli. Hahahaaaa.
Ndio hapo sasa vyakula vya kipwani pwani havijawahi mfilisi mtu.
Nimekuja mkuu Hajar:Hahaaaa. Nimekumbuka ule uzi wako uleee ndio uleee. Sijui kwa kweli kama alikuwa na akili hiyo.
Nguvu moja njoo.
Sawa kakaMarafiki wameshiriki kunifilisi , mpaka sasa wote nawaona nuksi
In dogo mfaume's voice
Ndo ukubwa kaka pambanaaaaassa
Msisahau kupitia na mihogo ya coco beachBasi usiondoke tena hapo nakuja
Hahahaaa, kuna kula bata kwingine kama anavyosema mleta uzi ni balaaa!
Mnabadilisha viwanja tu usiku kwa usiku, unakua na milioni saa nne usiku mpaka pakuche asubuhi umebakiwa na elfu arubaini na mbili, na ndio yanakua maisha yako ya matumizi hayo
Sasa uje uanguke sasa, hahahaaa hao uliokuwa nao kampani ya bata za hivyo watakavyokucheka, kukukwepa na kukusema utafikiri sio wao!
Twenzetuni sisi kwenye mambo yetu bana huyu yna4 na 1Kush wamepitia kona gani tena! Mbona wanipa wasiwasi😳😀😎
Nitag kwenye huo uzi mkuu Sesten Zakazaka:Aje tuu maana ule uzi ungemfaa sana angeambulia mawili mattu yenye manufaa
Hahahaa sawa mkuuNitag kwenye huo uzi mkuu Sesten Zakazaka:
Wengine awakumbuki fadhilaMie nipo wala siondoki.
Yaani acha tu Sesten na hawawezi kumbuka sababu urafiki uliunganishwa kwa pesa na kwa muda huo pesa hazipo tena.
Kina Kush ngoja niwaite.
Mke ninaeOa tu mkuu
...Kweli kabisa mkuuKua uyaone
Naeleza mkuu
OkYou are down, but not out buddy.
Sometimes, we have to undergo what you are facing right now in order to grow.
No matter how difficult it is, take your baptism by fire by the horns and aspire to rise again like a phoenix from its ashes.
It shall be well bro, It shall be well.
Wapambe nuksi sana!Wapo hao sana mkuu,yani anakupa masifa..mara anakuletea girls haha
Unaenda bar we mshua unazungusha tu
Nisamehe mkuu nimeuliza tuHhahahaha mi dume la mbegu mkuu, au nimeandika kike nini hapo?!!!😳😳😳
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tayari nimeuona na comment nimetoa tayari mkuu Sesten ZakazakaHahahaa sawa mkuu