Nalaani vikali DC MOSHI kukamata mafundi ujenzi site kisa wanajenga nyumba isiyokuwa na kibali cha ujenzi

Heshimu sheria za nchi, kutojua sheria ni upumbavu wako siyo udhuru. Km suala ni njaa kwanini hakwenda kuiba? Hili lilikuwa jukwaa la Great Thinkers limevamiwa na mazuzu. Sintashaanga kuona watakaomwunga mkono mleta uzi, limeshavamiwa km Ukraine
Sababu kubwa ya Tanzania kuwa na squatter nchi nzima ni watu kuwa na mawazo kama yako

Nchi nyingine haujengi tu kiholela ndo maana sehemu kubwa ya makazi ya watu Tanzania ni kubaya sana

ukienda nchi nyingine kama Europe, china, Japan, Korea unajiuliza hawa watu waliwezaje mbona miji Yao mizuri sana Waliwezaje kuwa na miji mizuri ni kwa sababu ya sheria Kali ya ujenzi ambayo huku Tanzania watu akiwemo mleta uzi hawataki kuifuata wanataka watu wajenge wanavyojisikia
 
Viongozi waliokosa exposure ndo matokeo yenyewe haya.

Unaokoteza watu unawapa uongozi wanaishia kukurupuka.
 
Mleta uzi hajapinga uwepo wa sheria amehoji kukamatwa kwa watu wasiohusika na pia bei za vibali ambazo kiuhalisia haziko sahihi. Tumia akili yako kuelewa kinachoongelewa badala ya kujifanya kuelewa dunia inavyoendeshwa.

Haya mambo ya kuinflate gharama za kodi, ushuru na tozo yametapakaa kila sekta na malalamiko ni mengi ila hakuna anayechukua hatua.

Na kama wewe ni mpenzi sana wa sheria, mbona hausemi serikali iende kukagua vibali vya ujenzi huko squatters?
 
Kiburi chako ndo kikekuponza,
Kopi za Vibali wanakuaga navyo mafundi
Hilo jengo lishaonyeshwa Hadi na Mwewe wa Clouds kuhusiana na ukaidi huohuo lakin bado,
Upigwe tu namie nasema mpigwe tu maana hakuna namna
 
Nakumbuka nilikwambia shusha hzo mbao zote uzilete ofisin Kwa galama zako,,[emoji1787]
 
Kiburi chako ndo kikekuponza,
Kopi za Vibali wanakuaga navyo mafundi
Hilo jengo lishaonyeshwa Hadi na Mwewe wa Clouds kuhusiana na ukaidi huohuo lakin bado,
Upigwe tu namie nasema mpigwe tu maana hakuna namna
Sasa fundi kibarua anahusikaje wewe!? Kwani mwenyewe hayupo?
 
Heshimu sheria za nchi, kutojua sheria ni upumbavu wako siyo udhuru. Km suala ni njaa kwanini hakwenda kuiba? Hili lilikuwa jukwaa la Great Thinkers limevamiwa na mazuzu. Sintashaanga kuona watakaomwunga mkono mleta uzi, limeshavamiwa km Ukraine
Anaemkamata mwenyewe aliiba kura ili apate uongozi! Hiyo sheria gan ya kuumiza wasiokuwa na hatia!
Wapunguze gharama za vibali vya ujenzi ili kila mtanzania atamani kuwa na kibali!

Kuna kodi ya ardhi, kodi ya jengo, n.k vibali havitakiwi hata kuzidi elfu hamsini.

Yote Tisa, sasa kwanini wasimkamate mmiliki, wanakimbilia kukamata vibarua ambao hawajui hata mbambambamba yoyote?
 
Employee Liability,,,
 
Mafundi wanajua utaratibu huo

Dereva kapakie Mzigo usioujua usafirishe wakati ni bangi uone
Gari inaendeshwa na dereva mwenye leseni!
Mfano wako hauna tija!.
Kibarua na mbeba zege hana leseni ! Yeye anaitwa tu ili apate ugali,
Anawajibishwaje kwa wajibu wa mmiliki wa jengo?
Kama mwenye jengo alikaidi wanashindwaje kupiga greda nyumba?
 
Kama viwanja vimepimwa na michoro ipo serikali ya kijiji na copy ziko ardhi hio squatter inatoka wapi??? Tatizo la Tanzania ni kugeuza sheria Kama chanzo cha mapato na ndo maana rushwa haiishi nchi hii!
 
Kama viwanja vimepimwa na michoro ipo serikali ya kijiji na copy ziko ardhi hio squatter inatoka wapi??? Tatizo la Tanzania ni kugeuza sheria Kama chanzo cha mapato na ndo maana rushwa haiishi nchi hii!
Kabisa mkuu! Sheria zinakuwa hazitekelezeki kwasababu ni za kukomoana!
Kuna sababu gani vibali kuwa bei juu namna hiyo!
 
mambo haya ya vibali,ramani yangefutwa tu ili watu wawe huru kujenga kwa ramani waitakayo.Mlolongo wote huo ukikamilika nadhani masikini mwenye m2 yakujenga hela yote inaishia kwenye vibali hawezi kujenga.
 
mambo haya ya vibali,ramani yangefutwa tu ili watu wawe huru kujenga kwa ramani waitakayo.Mlolongo wote huo ukikamilika nadhani masikini mwenye m2 yakujenga hela yote inaishia kwenye vibali hawezi kujenga.
Msingi wa vibali ilikuwa na lengo la kuupanga mji lakini utekelezaji wake umegeuzwa chanzo cha mapato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…