Nalaani vikali DC MOSHI kukamata mafundi ujenzi site kisa wanajenga nyumba isiyokuwa na kibali cha ujenzi

Nalaani vikali DC MOSHI kukamata mafundi ujenzi site kisa wanajenga nyumba isiyokuwa na kibali cha ujenzi

Sababu kubwa ya Tanzania kuwa na squatter nchi nzima ni watu kuwa na mawazo kama yako

Nchi nyingine haujengi tu kiholela ndo maana sehemu kubwa ya makazi ya watu Tanzania ni kubaya sana

ukienda nchi nyingine kama Europe, china, Japan, Korea unajiuliza hawa watu waliwezaje mbona miji Yao mizuri sana Waliwezaje kuwa na miji mizuri ni kwa sababu ya sheria Kali ya ujenzi ambayo huku Tanzania watu akiwemo mleta uzi hawataki kuifuata wanataka watu wajenge wanavyojisikia
Tatizo ni kwamba hizo building permit ni gharama kubwa sana, sasa mtu ananunua Kiwanja Mil.2 na akiomba kibali anakutana na jumla ya gharama ambayo ni kubwa kuliko bei ya kiwanja, inakatisha tamaa, na watu wanaamua kuotesha tu nyumba kama uyoga!
 
Tatizo ni kwamba hizo building permit ni gharama kubwa sana, sasa mtu ananunua Kiwanja Mil.2 na akiomba kibali anakutana na jumla ya gharama ambayo ni kubwa kuliko bei ya kiwanja, inakatisha tamaa, na watu wanaamua kuotesha tu nyumba kama uyoga!
Sheria zinatumika kama vyanzo vya mapato
 
Badala wajiulize kwanini watu hawachukui vibari waangalie kama kuna changamoto, wao wanatumia mabavu!
Wangeshusha bei za vibari kila mtu angeomba kibari!
Kwanza kibari cha ujenzi hakitakiwi hata kuzidi elfu hamsini!
Kwasababu mtu huyohuyo analipia pango la ardhi, pango la nyumba n.k

Kibari cha ujenzi ilitakiwa kuwa bonus! Kuliko ilivyo sasa!
Gharama za vibari kuanzia michoro hadi malipo pesa yake unapata tofari elf 2 ambayo inatosha kujenga boma zima!
Ninani atataman kuomba kibari kwa mtindo huo?
Katikati hapa dar walikuja sehemu za madale nyumba nyingi zilipigwa chata
Simamisha ujenzi...nenda manispaa ukalupie
Naona baadaye watu kulalamika wakaaitisha,ila walikusanya hela kimtindo

Ova
 
Sababu kubwa ya Tanzania kuwa na squatter nchi nzima ni watu kuwa na mawazo kama yako

Nchi nyingine haujengi tu kiholela ndo maana sehemu kubwa ya makazi ya watu Tanzania ni kubaya sana

ukienda nchi nyingine kama Europe, china, Japan, Korea unajiuliza hawa watu waliwezaje mbona miji Yao mizuri sana Waliwezaje kuwa na miji mizuri ni kwa sababu ya sheria Kali ya ujenzi ambayo huku Tanzania watu akiwemo mleta uzi hawataki kuifuata wanataka watu wajenge wanavyojisikia
Mleta uzi hajapinga mambo ya vibali
Kasema wapunguze gharama ya vibali vya ujenzi

Ova
 
Katikati hapa dar walikuja sehemu za madale nyumba nyingi zilipigwa chata
Simamisha ujenzi...nenda manispaa ukalupie
Naona baadaye watu kulalamika wakaaitisha,ila walikusanya hela kimtindo

Ova
Ikawaje
 
Sababu kubwa ya Tanzania kuwa na squatter nchi nzima ni watu kuwa na mawazo kama yako

Nchi nyingine haujengi tu kiholela ndo maana sehemu kubwa ya makazi ya watu Tanzania ni kubaya sana

ukienda nchi nyingine kama Europe, china, Japan, Korea unajiuliza hawa watu waliwezaje mbona miji Yao mizuri sana Waliwezaje kuwa na miji mizuri ni kwa sababu ya sheria Kali ya ujenzi ambayo huku Tanzania watu akiwemo mleta uzi hawataki kuifuata wanataka watu wajenge wanavyojisikia
Toa ujinga mkuu.
Huko ulaya unakosema u mewaifika au unaropoka na huo mshara unaokufanya ushindwe kukumbuka kijijini kwa wazazi wako. Vile hali ya uchumi ulivyo unaweka kibali Cha ujenzi bei juu na unajua nyumba ni hitaji mhimu kwa binadam.

Elimu mnayopata jaribuni kuihusianisha na mazingira halisi sio mkishaajiliwa mnajisahau huko maofisini nyau nyie..
 
Toa ujinga mkuu.
Huko ulaya unakosema u mewaifika au unaropoka na huo mshara unaokufanya ushindwe kukumbuka kijijini kwa wazazi wako. Vile hali ya uchumi ulivyo unaweka kibali Cha ujenzi bei juu na unajua nyumba ni hitaji mhimu kwa binadam.

Elimu mnayopata jaribuni kuihusianisha na mazingira halisi sio mkishaajiliwa mnajisahau huko maofisini nyau nyie..
We ndo mjinga ambaye unataka nchi nzima iwe squatter ukweli ni kwamba hata uweke Bei chee watanzania hawapendi vitu vizuri ukiwemo wewe

Ndo maana tokea waondoke wazungu sehemu nzuri kama masaki ambazo zimepangiliwa ni chache sana

Tanzania hakuna urban and rural planning watu wanajenga maguest hovyo, bar zinafunguliwa kila corner, hakuna public park mkiambiwa mfuate sheria hamtaki
 
We ndo mjinga ambaye unataka nchi nzima iwe kama squatter ukweli ni kwamba hata uweke Bei chee watanzania hawapendi vitu vizuri ukiwemo wewe

Ndo maana tokea waondoke wazungu sehemu nzuri kama masaki ambazo zimepangiliwa ni chache sana
Elimu Elimu! Wapeni watu elimu sio mnakaa maofisini. Tukiwafata huko mnatuona Kama tunajipe ndekeza. Huduma zenu mbovu. Tena mnahudumia mmeridhika kibali tu mnaanza kuzungusha mtu kama nini?
Kwa style hiyo kwanini watu wasijijengee tu kiholela..

Tukiwambia Elimu mlizozupata zinawafanya mjione miungu watu mnatka kuabudiwa badala ya kutimiza majukumu yenu na kuwasaidia watanzania.

Punguza gharama za vibali watu wajenge. Toa Elimu watu waelimike kuhusu madhara ya ujenzi holela.

Bado tunawatumishi wa kwenye makalatasi na kuishi kimazoea.
 
Mambo ya ajabu kabisa

Ova
Majuzi kule Instagram nimeona DC mmoja ka post video clip yake akikagua madaftari ya wanafunzi kwenye shule moja huko kwake, tena anajisifu kuwa kazi ya ukaguzi inaendelea. Watu wakamuhoji kwamba toka lini yeye amekuwa mkaguzi wa elimu? Mkaguzi wa elimu na wasaidizi wake wana mifumo yao ya ukaguzi na kutoa ripoti, je yeye anaijua na atatoa ripoti kwa nani?
 
Elimu Elimu! Wapeni watu elimu sio mnakaa maofisini. Tukiwafata huko mnatuona Kama tunajipe ndekeza. Huduma zenu mbovu. Tena mnahudumia mmeridhika kibali tu mnaanza kuzungusha mtu kama nini?
Kwa style hiyo kwanini watu wasijijengee tu kiholela..

Tukiwambia Elimu mlizozupata zinawafanya mjione miungu watu mnatka kuabudiwa badala ya kutimiza majukumu yenu na kuwasaidia watanzania.

Punguza gharama za vibali watu wajenge. Toa Elimu watu waelimike kuhusu madhara ya ujenzi holela.

Bado tunawatumishi wa kwenye makalatasi na kuishi kimazoea.
 
Majuzi kule Instagram nimeona DC mmoja ka post video clip yake akikagua madaftari ya wanafunzi kwenye shule moja huko kwake, tena anajisifu kuwa kazi ya ukaguzi inaendelea. Watu wakamuhoji kwamba toka lini yeye amekuwa mkaguzi wa elimu? Mkaguzi wa elimu na wasaidizi wake wana mifumo yao ya ukaguzi na kutoa ripoti, je yeye anaijua na atatoa ripoti kwa nani?
Alijibuje
 
Pamoja na ukiritimba wa vibali vya ujenzi kuwa bei juu ukiambata na mazingira ya rushwa kuanzia wapimaji katika halimashauri nyingi Tanzania!

Lakini haiondoi haki na wajibu wa kila mtu!

Taratibu za ujenzi katika halmashauri zote zinataka mtu yoyote anayehitaji kufanya ujenzi Tanzania lazima;

1. Awe na michoro iliyoidhinishwa kutoka mchoraji aliyesajiliwa (registered architecture) gharama inaweza kua laki 3 hadi 1mil au zaidi
2. Malipo ya kibali cha ujenzi kila manispaa wana bei zake wanachaji kwa square meter kulingana na ukubwa wa eneo linalojengwa (building area) ambapo square mita moja inaweza kuwa (elf 2~10 au zai) hivyo kwa eneo la sq 400 hivyo unaweza kulipia vibali vya ujenzi laki nane au 1mil ili wakupatie building permit

3. Mbali na pesa hiyo bado kuna pesa ya maombi ambayo huwa fixed inaweza kuwa elfu 50 au zaidi etc

Anyway nisirefushe mada! Yote kwa yote hata kama sheria ni ngumu wamiliki wanalazimika kuzifuata kabla ya kujenga!

Mkuu wa wilaya wakiongozana na polisi wamekamata mafundi waliokuwa wakijenga kwenye nyumba iliyosimamishwa ujenzi kwa kutokuwa na vibali!

Swali! Anaetakiwa kukamatwa ni fundi au mmiliki?

What if kama mmiliki wa jengo aliwadanganya mafundi kwamba kila kitu kipo kashakamilisha?

Ni fundi gani na njaa hii atathubutu kumuuliza bosi vibali wakati kazi zenyewe za kusotea?

Unaanzaje kukamata mafundi wabangaizaji innocent na kuwasondeka kwenye difenda wakati jengo linamwenyewe, jengo lipo, mwenyekiti wa mtaa yupo, mjumbe yupo etc!

Cha ajabu kila fundi kaambiwa alipe laki nne ili aachiwe, wapo 15!

Kosa lao kwenda kujenga nyumba pasipo kumhoji bosi wao kibali cha ujenzi!

Waziri Tamisemi mh Bashungwa, na Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu,kazi, Ajira vijana wazee na wenye ulemavu shughulikieni mapema jambo hilo, DC na mkurugenzi hawana hekima!

Rais ikimpendeza fukuza hao ili nao watoke ofisini waone maisha yalivyo magumu kwa wabeba zege

AJIRA ngumu
Mafundi wamezingua mi mwenyewe ni fundi lazima uwe na kopi
IMG_20220722_081259_351.jpg


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Anaemkamata mwenyewe aliiba kura ili apate uongozi! Hiyo sheria gan ya kuumiza wasiokuwa na hatia!
Wapunguze gharama za vibali vya ujenzi ili kila mtanzania atamani kuwa na kibali!

Kuna kodi ya ardhi, kodi ya jengo, n.k vibali havitakiwi hata kuzidi elfu hamsini.

Yote Tisa, sasa kwanini wasimkamate mmiliki, wanakimbilia kukamata vibarua ambao hawajui hata mbambambamba yoyote?
Hivyo vibali vyenyewe havitoki kwa wakati.kuna kua na milolongo kibao ambayo haina ulazima.Wanakaa tu vikao uko maofisini badala yakufanya kazi zilizolundikana mezani mwao.alafu wakitoka hapo wanakimbilia kukamata watu nakusitisha ujenzi wa watu wakati wao wenyewe walitakiwa kuwajibika kwanza kwakutoa vibali kwa wakati.Viongozi wetu hawana uwezo wakurahisisha mambo ili iwe rahisi kwa wananchi kufwata taratibu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hivyo vibali vyenyewe havitoki kwa wakati.kuna kua na milolongo kibao ambayo haina ulazima.Wanakaa tu vikao uko maofisini badala yakufanya kazi zilizolundikana mezani mwao.alafu wakitoka hapo wanakimbilia kukamata watu nakusitisha ujenzi wa watu wakati wao wenyewe walitakiwa kuwajibika kwanza kwakutoa vibali kwa wakati.Viongozi wetu hawana uwezo wakurahisisha mambo ili iwe rahisi kwa wananchi kufwata taratibu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wakati watu wengi hawawezi kukaa na fedha muda mrefu matatizo ni mengi, hivyo akizifuma pesa anataka ajenge chapu itakapoishia pesa anatulia! Sasa ukimchelewesha atakula pesa
 
Wwe ni Janja janja! Na wakunyooshe tu!
Pamoja na ukiritimba wa vibali vya ujenzi kuwa bei juu ukiambata na mazingira ya rushwa kuanzia wapimaji katika halimashauri nyingi Tanzania!

Lakini haiondoi haki na wajibu wa kila mtu!

Taratibu za ujenzi katika halmashauri zote zinataka mtu yoyote anayehitaji kufanya ujenzi Tanzania lazima;

1. Awe na michoro iliyoidhinishwa kutoka mchoraji aliyesajiliwa (registered architecture) gharama inaweza kua laki 3 hadi 1mil au zaidi
2. Malipo ya kibali cha ujenzi kila manispaa wana bei zake wanachaji kwa square meter kulingana na ukubwa wa eneo linalojengwa (building area) ambapo square mita moja inaweza kuwa (elf 2~10 au zai) hivyo kwa eneo la sq 400 hivyo unaweza kulipia vibali vya ujenzi laki nane au 1mil ili wakupatie building permit

3. Mbali na pesa hiyo bado kuna pesa ya maombi ambayo huwa fixed inaweza kuwa elfu 50 au zaidi etc

Anyway nisirefushe mada! Yote kwa yote hata kama sheria ni ngumu wamiliki wanalazimika kuzifuata kabla ya kujenga!

Mkuu wa wilaya wakiongozana na polisi wamekamata mafundi waliokuwa wakijenga kwenye nyumba iliyosimamishwa ujenzi kwa kutokuwa na vibali!

Swali! Anaetakiwa kukamatwa ni fundi au mmiliki?

What if kama mmiliki wa jengo aliwadanganya mafundi kwamba kila kitu kipo kashakamilisha?

Ni fundi gani na njaa hii atathubutu kumuuliza bosi vibali wakati kazi zenyewe za kusotea?

Unaanzaje kukamata mafundi wabangaizaji innocent na kuwasondeka kwenye difenda wakati jengo linamwenyewe, jengo lipo, mwenyekiti wa mtaa yupo, mjumbe yupo etc!

Cha ajabu kila fundi kaambiwa alipe laki nne ili aachiwe, wapo 15!

Kosa lao kwenda kujenga nyumba pasipo kumhoji bosi wao kibali cha ujenzi!

Waziri Tamisemi mh Bashungwa, na Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu,kazi, Ajira vijana wazee na wenye ulemavu shughulikieni mapema jambo hilo, DC na mkurugenzi hawana hekima!

Rais ikimpendeza fukuza hao ili nao watoke ofisini waone maisha yalivyo magumu kwa wabeba zege

AJIRA ngumu
 
Back
Top Bottom