Nalaani wananchi kushangilia mitandaoni ajali ya basi la wabunge wa JMT

Nalaani wananchi kushangilia mitandaoni ajali ya basi la wabunge wa JMT

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.

Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.

Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Hata wewe tunakulaani
 
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.

Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.

Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Unataka wapewe pole wakati hawapendwi??
 
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.

Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.

Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Wajitafakari, huko bungeni wanamwakilisha nani?
 
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.

Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.

Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kumuombea mtu kifo ni haki ya kikatiba. Hata ukifanya sherehe mtu kafa hakuna sheria ya kukuzuia.

Rais Mwinyi katika kitabu chake ameandika kuwa kuna Wanyarwanda Mwanza walifanya sherehe kusheherekea kifo cha rais wa Rwanda. Serikali ikataka kuwakamata iwashitaki. Ikakuta hakuna sheria inayokataza kusheherekea mtu kufa.

Na wewe kuwakemea hivyo ni haki yako ya kikatiba pia.
 
Back
Top Bottom