Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwanza nani aliwachagua?Unataka wapewe pole wakati hawapendwi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nani aliwachagua?Unataka wapewe pole wakati hawapendwi??
Israeli kazembe/katuangusha.Wengine walipokuwa wanatekwa na kuuliwa walikataa kuihoji serikali. Nadhani wameonja kifo
yanatembea na mahirizi makali kufa kaziHata mimi nalaani ile ajali maana haijaua hata mmoja
Bandari imeuzwa, yenyewe yapo tu.Hawana faida hata wakifa au wakiwa hai. Ubunge ni kwaajili yao na familia zao.
Ah weh umemzidi hadi shetani 😅Hata mimi nalaani ile ajali maana haijaua hata mmoja
Taifa tunatakiwa kuwa kitu kimoja ila sasa watawa wametugawa ,unategemea nini?Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Wanachadema hao hàkuna cha ajabu hapo.Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Yohana Mbatizaji!"Je watu wanasema mimi ni nani?"
Watu wazuri hawafi