Sasa kama so called wawakilishi wa wananchi wanapopata shida hao wanaowawakilisha wanashangilia basi inabidi wajitafakari kama ni wawakilishi in the first place....
If you ask me they have been out of touch for quite some time..., None are man / women of the People..., rather they are self serving overpaid prima donnas....
Though kwangu mimi they are non entities siwezi kupoteza muda wangu kushangilia au kulia (though kama wafanyacho ni to the detriment ya Taifa basi ninaelewa wanaoshangilia huenda wanasema good riddance)