Nalaani wananchi kushangilia mitandaoni ajali ya basi la wabunge wa JMT

Nalaani wananchi kushangilia mitandaoni ajali ya basi la wabunge wa JMT

Mwambie Misime kesho asome taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu Hilo.
Watu wako bungeni kwa wizi wa kura na wanapitisha maamuzi yanayowaumiza wananchi huku walilipwa posho Nene Kila siku wakijali matumbo Yao! Kwanini watu wasiowaombee kifo, ulemavu na mengineyo? Kwa sababu wakitumia njia za Kidemokrasia wanakutana na wizi wa kura, utekaji, mauaji na kunyimwa Haki. Hakuna njia nyingine isipokua kuwaombea mabaya.
Badala ya kuwataka wajitathmini unawashambulia wananchi. Mpuuzi wewe
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.

Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.

Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.

Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
 
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.

Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.

Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.

Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Maombi yako hayafiki hata usawa wa mlima oldoinyo lengai, unalaani wewe kama nani?
 
Ishu ni kwamba kundi kubwa la watanzania wanaishi maisha ya hovyo sababu ya uwepo wa hao washenzi wachache bungeni. Hawapo kwa ajili ya welfare ya taifa bali kwa manufaa yao binafsi. Kutunga sheria kandamizi na kubariki ufisadi na wizi wa serikali.
 
Back
Top Bottom