Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
unamanisha yule joka kuuBado yule Mama
Hata wewe tunakulaaniMaoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Unataka wapewe pole wakati hawapendwi??Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Nadhani atakuwa kamanisha bado rangounamanisha yule joka kuu
Wajitafakari, huko bungeni wanamwakilisha nani?Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kumuombea mtu kifo ni haki ya kikatiba. Hata ukifanya sherehe mtu kafa hakuna sheria ya kukuzuia.Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.