900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
hiyo laana yako ingekuwa inafanya kazi c ingewapata wale watekaji na wauaji wa wananchi wasio na hatiaMaoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Tanzania hatuna wabunge wawakilishi wa wananchi, bali vibaraka wa mafisadi na wezi kodi za wananchiMaoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
tunasikitika hawakupita bila kupingwa kwenye hili tukioEthrocyte atakua kakesha meno nje
Nimetembela Youtube na Insta kuhusu Wabunge na wale wanaotajwa kama maafisa wa Watoza Ushuru kiukweli Watz Wamechoka.Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Kifo ni kifoKumuombea mtu kifo ni haki ya kikatiba. Hata ukifanya sherehe mtu kafa hakuna sheria ya kukuzuia.
Rais Mwinyi katika kitabu chake ameandika kuwa kuna Wanyarwanda Mwanza walifanya sherehe kusheherekea kifo cha rais wa Rwanda. Serikali ikataka kuwakamata iwashitaki. Ikakuta hakuna sheria inayokataza kusheherekea mtu kufa.
Na wewe kuwakemea hivyo ni haki yako ya kikatiba pia.
😅Hata wewe tunakulaani
Mama yupi?Bado yule Mama, siku yamkute, hakika mtalia peke yenu.
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Usilazimishe watu milioni 60 kuwaza kama unavyowaza. Upendo na chuki ni kitu kimoja lakini katika uhalisia tofauti. Mtu anaweza akapenda kitu hichohicho mwingine akachukia. Inategemea na matarajio yake kwa hicho kitu kama yanafikiwa anakipenda na kama hayafikiwi anakichukia.Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Mwenye chuki anaweza kuwa na chuki sababu ya comments za wabunge bungeni. Acha watoe mapovu yao yaishe. Mioyo yao ikikata tamaa waache kugombea, wasuse waachie nafasi hizo kwani wananchi wao wanawakatisha tamaa.Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Uhai ni wa Mungu tusiombeane vifo hakika.Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Mbona uzi mfupi hivi? Utalipwa kweli?Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Ni haki yao. Kama wanaweza kupenda, wanaweza kuchukia.Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Mkuu,Maoni ya wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wabunge kupata ajali yanaonyesha kuna watu wenye chuki ya dhati na bunge letu.
Comments zilizopo mitandaoni zinaumiza ndugu wa viongozi hawa nakuwakatisha moyo wanasiasa hasa.
Niombe watanzania tusiwe na chuki yakuombeana kifo. Siyo jambo jema.
Kuhusu ajali, soma Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa