Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndiyo Taarifa ambayo imepatikana siku ya leo, Kiula amewahi kuwa Mbunge wa Iramba na waziri wa Ujenzi (1985 - 1995)
Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zinavyotufikia.
Pia soma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka hiyo naona walikuwa wanadokoa tu, hawa wa siku hizi ndio wanatutafuna haswa.Waziri wa Ujenzi wa Mzee Ally Hassan Mwinyi ambae alilipuliwa kwny report Rushwa ya 1996 ya Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba
Huyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.Waziri wa Ujenzi wa Mzee Ally Hassan Mwinyi ambae alilipuliwa kwny report Rushwa ya 1996 ya Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba
umenikumbush mbaali snNduguye Mwigulu wazee wa Iramba nkulu kuliko Tanzania
nzuu nkuile mbiiNduguye Mwigulu wazee wa Iramba nkulu kuliko Tanzania
AiseeeePole zake Nalialia Kuula.
Alikuwa na roho mbaya!
Lakini RIP
Acha upuuzi na jina la kwa chinovaJPM naye alifaa apandishwe kisutu
Nina kisa kinachomhusu, kisa ambacho angeweza kutoa msaada akiwa waziri, lakini hata kupokea ujumbe alikataa kabisa.Aiseeee
Mkuu vp Clara ushampa mimba nyingine??Nina kisa kinachomhusu, kisa ambachi angeweza kutoa msaada akiwa waziri, lakini hata kupokea ujumbe alikataa kabisa.
Amenishindwa nimepata kingwineMkuu vp Clara ushampa mimba nyingine??
kiula hakushinda kesi ile?Waziri wa Ujenzi wa Mzee Ally Hassan Mwinyi ambae alilipuliwa kwny report Rushwa ya 1996 ya Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba
Nilihisi ni waziri mpya mpya wa baraza hili jipya