Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Sijakuelewa kiukweli, he is 30s I am 20s hebu rudia tena sasa nikuelewe

naamini wewe ni progressive woman, halafu kijana mwenye uelewa, kwanini umuoshe mwanaume mikono...sidhani kama kizazi hiki mnafanya hivyo. mie nimeona wanaofanya hivyo ni wazee mbao kwasasa wapo 70+
 
Heee we vepe kununiana kuna raha mwisho wa mnuno ni nini kama sio kugegedana?

aisee Nimekushindwa hakika.. Kumbe inawezekana jamaa anakuchokoza makusudi ili mwisho wa mnuno apate mgegedano uliotukuka maana staili ya mnuno huwa inamshindo katika mpatano. Nimewaza tu
 


Mimi naomba wanawake wanaoweza kufanya kama huyu Evelyn Salt wajitokeze niwape zawadi......Huyo mumewe kiboko,hadi kunawishwa mikono??!!!
 
Last edited by a moderator:
Take it easy life is not fair anyway. You should know that by now!
 
Nilikuwa nasubiri jibu la huyo ndugu. am ur young bro. unavowalaumu wanaume au mme wako the same wapo wanaume nao wanalalamika kama alivyo mume wako. issue ya kutoridhika,ugomvi au ulalamishi mara nyingi huwa ni tabia ya mtu na niki refer chat yako na Heaven Sent hapo juu kwamba ulikuwa unalia kama wahindi probably huyo bro hajaanza leo na shida ya tabia even when ur wrong and u disturb others mara nyingi wewe unajiona upo sahihi na unastahili kuwa hivyo kumbe sio. kujua tatizo ni nusu ya ushindi katika kulikabili. nimewahi ku experience hii kwa msichana tuliachana. sasa wewe tafuta busara na hekima zaidi bila kuathiri ndoa yako ungekuwa hujaolewa ningesema quit that uhusiano
 
Last edited by a moderator:

Ha ha ha ha eti wewe ndio mama lol
Sasa kama yeye ndo mama mbona haridhiki, binadamu hatujui kuridhika
 

Kweli binadamu tumetofautiana sana ...mimi siku ikitokea nimefanyiwa haya makeke huwa nashangaa kabisa manake sijazoea kabisa na nimeshakubali yaishe.... tumeishi hivyo miaka 12+ now!
 

Dada Evelyn unaweza ukaandika lalamiko lake hasa ili tupate kujua hayo matatu upo safii sana ila unahitaji mawili zaidi (1) muwe mnatoka kwenda sehemu kama beach na kuongea yanayo kukwaza moyoni juu ya mumeo (2) unahitaji uwe mwenye kuleta matani pia jaribu kuhave fun na mwezio kwani furaha huletwa na wawili wakijuwana, kuchekeshana na kuvumiliana.
 
Kweli binadamu tumetofautiana sana ...mimi siku ikitokea nimefanyiwa haya makeke huwa nashangaa kabisa manake sijazoea kabisa na nimeshakubali yaishe.... tumeishi hivyo miaka 12+ now!

Ha ha ha eeh haya bana
 
naamini wewe ni progressive woman, halafu kijana mwenye uelewa, kwanini umuoshe mwanaume mikono...sidhani kama kizazi hiki mnafanya hivyo. mie nimeona wanaofanya hivyo ni wazee mbao kwasasa wapo 70+

namnawishisha mikono muda wote wa kula kama nipo around....wajibu
 
mke wangu mwenyewe anafanya hivyo ila siku nyingine nakuwaga na mihasira tu, na hujui yametoka wapi hasa hasa mifuko ikitoboka, network inakuwa ina-search kwa kasi ya ajabu ili kuziba mifuko, msamehe bure ndo hivyo tena pengine mihasara ya kazini anaingia nayo hadi ndani ya nyumba badala ya kuiacha mlangoni
 
Kama we unafanyiwa hivo ni halali yako kuona kawaida
Sasa Eve wewe kama ni mtanzania wa kawaida unataka kuniambia mke kumnawisha mume ni ishu nayo?!! Acheni utani bana hayo mambo ya kawaida sana kwenye jamii za kitanzania labda kama mnaongelea jamii ya hapo kwa jaluo mtaa wa pili.
 
Unampa too much attention ndio maana haishi kulalama. Do your part with all your heart basi vingine mwachie yeye ahangaike navyo. Kuna watu wana gubu wewe na ukiendekeza atataka hadi umtafunie na kumlisha kila siku. Biandamu hatuko perfect na kama yeye anaona mapungufu au wewe ni jukumu lake kama mpenzio/mumeo/mkeo kukwambia darling hapa naona kuna kitu kinapelea from there you can talk ila mtu wa gubu mara hiki alalame mara hiki anune mhh huyo abebeki. Siku kausha tu maana ameshaona weakness yako ni kuogopa akilalamika . MAisha haya utaishi kwa kuguess kuwa sijui nifanye nini kipya asilalamike? utaweza? Mapenzi ni pamoja na uwazi na kuongea sio kumtegeshea mwenzio akosee ndio utoe malalamiko hayo hayatakuwa mapenzi bali utumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…