Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza surprise...na ubunifu... Kwenye 6x6 uko uwe porn star kabisaaa...leo mpake nutella, kesho mpake asali ...Lainisha kauli..., mpe attention, bembelezaaaa.. Endelea kuwa Mama Lowassa, mume atakuganda kama wino wa NEC. 
Relax, take a back seat and enjoy the view. kama unachosema ni sahihi hayo mambo ya kawaida kabisa. Hata wewe kuna vitu unalalamika ni ubinadamu tu, vitu vingine vidogo vidogo kama hivi haviwezi kukosekana vinginevyo labda useme ulitegemea "a perfect relationship"!. By the way ngoja nikuchekeshe kuna mdada yeye akimuandaa mume asubuhi jamaa anazingua ile mbaya utasikia hiyo nguo sitaki nipe ile au hata kuchagua mwenyewe wakati mwingine, sasa siku akiachwa achague pia anasema, "mke wangu wewe ndiyo mamaa hebu nichagulie viwalo bwana" yaani alimradi ni ubinadamu tu.Teh gelofriend bila shaka hata ye ukimuuliza anaweza kua hajui may be nikupe kamfano kadunchu jana mchana mida ya kula nimemnawisha mikono nikampakulia akaanza kula mara kidume cha mbegu kinazunguka pale (our son) nikamchukua kumlisha daddy kamaliza kula mie namlisha mtoto akaanza kunawa mwenyewe eeh nkashangaa analalamika kuwa anajinawisha mwenyewe simhudumii au nlitakiwa nimuache kidume cha mbegu nimnawishe? Maisha ni magumu mweh.... Kuna vitu vidunchu ila vinaumizaga kichwa unaweza hata usilale unakiwaza tu japo kidogo
Ha ha ha mme na mtoto wangu wote ni wa muhimu sana kwangu ila mmh mme ana special treatment zake, anapata mapenzi ya mke mwanangu nae anapata mapenzi ya mama....kuoga tunaoga wote karibu kila siku hata kama tumechuniana bafuni tunaenda wote hivo hivo kimya kimya
Nakumbuka, ahsante piaTubarikiwe sote sist, nimefurahi kama umepata japo ujumbe wa kuutuliza moyo wako... Usibadilishe hayo uyatendayo kwani lawama zitazaa ugomvi. Keep it up nadhani unakumbuka ushauri wangu kwa Mr
Kwakweli kwenye swala la simu naona udikteta wa wazi waziBasi atakuwa ni dictator.....maana hawezi kuwa yupo busy na simu yake halafu wewe kuwa busy ionekane ni kosa! Eti anapiga stori na washkaji, stori zenyewe ni zile ambazo haupo na uelewa nazo halafu unaamua kujifariji kwa kutumia katelephone halafu anakubana...kweli huyu analojambo! But kila jambo lina mlango...maana kaa ukijua kuwa shida sio shida ila njia utakayoitumia kutatua shinda ndio shida yenyewe.
Sikutegemea Kma Hili Lingekua Tatizo Kwako, Then Umejuaje Kma Kwel Upo Vizur Mambo Uliyoyataja?? Alafu Naona Kma Sumtime Huwa Unajisahau Kwa Kuona Kuwa Unamfanyia Mambo Mengi Tofaut Na Wanawake Wengne...So Ni Kma Kuna Muda Unalegeza. Mfano Mimi Hivyo Vitu Nilikua Nafanyiwa Nikiwa Chuo Kwa Upande Wako Unaona Unamfanyia Mambo Makubwa Sanaa Wakat Upande Mwingne Ni Ya Kawaida Sanaaa Kwa Wapenzj Wanaopendana Real...Stor Yako Inaonyesha Kma Saikolojia Yako Inakudanganya That Unafanya Mambo Makubwa But Bado Haridhiki!! Kuna Muda Huwa Unajisahau Kwa Advantage Ya Hayo Unayomfanyia Ukiyaona Ni Ya Kipekee. Unachotakiwa Ni Kubuni Vingine Vizur Zaidiiii. Na Wale Usiseme Wengne Hawafny Hiv Mimi Nafanya!! Na Inaonekana Umemzoesha So Unapositisha Kimojawapo Anahisi Kma Umebadilika. Ongeza Manjonjo Bwana Aujafika Mwisho Ndio Kwanza[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] !!
Sijasoma maoni yote ya wadau so naweza kuwa narudia waliyoshauri wengine...
kuna kitu kimoja ambacho nakiona ni muhimu sana wanawake wakijue..
'do not change yourself to please him'
usibadilishe 'personality' yako saaana just tu kumfurahisha mume..
atashindwa 'kukusoma'.......na mtashindwa kujenga bond na compatibility inayotakiwa
Sasa labda kama unayoyafanya yoote 'yamekubadili' personality...
alijua ana mwanamke 'chui' ndani..na wewe umeanza ku act kama 'swala'
hizo complains zinakuja sababu ya 'kukosekana' kwa 'the real you'
Sometimes huwa unakuwa na mtu na still unam miss.......
watu hupenda 'the good and bad side' za mtu...
Ni Mambo Ya Kawaida Sawa, Ila Ww Unaona Umemaliza Kila Kitu Kiasi Kwamba Unasema Unamfanyia Kila Kitu Lakin Bado Haridhiki!! Mean Umemaliza Kila Linalostahil Yy Kufanyiwa Lakin Haridhiki!!!It's not about psychology, nlichoongea ni mambo ya kawaida majukumu ya mwanamke ndani ya nyumba..... OK hayo ulifanyiwa chuo ulipo graduate unafanyiwa yapi?
Sijakuelewa kiukweli, he is 30s I am 20s hebu rudia tena sasa nikueleweSidhani kama ni kweli hii stori, kwa level ya uelewa wako na character. Ungekua mshamba ningekubali au kabila fulani hivi sawa na mumeo. au kaka huyo ni mshamba fulani hivi una mkaanga na kumlia timing. BTW sijatumia neno ushamba kama kukutukana.
Hata age difference.....huyo kaka labda yeye 75 wewe below 35 bado sidhani kama unafanya hivyo....labda wewe uwe mkubwa sana kwa mwanaume like 50+ huyo kaka below 30.....otherwise nimeyameona haya kwa mama yangu mkubwa...yeye na mumewe 71 kwa 75 respectively.
Hapana nakugawa bure, bado wapi tu hahaha
Ongeza surprise...na ubunifu... Kwenye 6x6 uko uwe porn star kabisaaa...leo mpake nutella, kesho mpake asali 😂😂...Lainisha kauli..., mpe attention, bembelezaaaa.. Endelea kuwa Mama Lowassa, mume atakuganda kama wino wa NEC. 👏👏
Ha ha ha maneno yapiEvelyn Salt mpendwa umenisupriz..Sikujua kama unajua kupetipeti hivi...
Huyo mume umeshamlemaza kwa mahaba..Cha msingi jaribu kufanyia kazi malalamiko yake kama yako ndani ya uwezo wako
Na ukiona kitu anacholalamika hakina msingi wowote usimzarau wala kukaa kimya..Jaribu kumuelewesha kwa upole..Hope yale maneno yako ya hapa jamvini huyatumii huko ndoani
Ubandidu huleta u sexy fulani
unafanya mtu anakuwa addicted na real you ambayo haipati kwa mwingine
na ile hofu ya kukupoteza inajitokeza...but ukiwa mama theresa unakuwa so predictable..
mtu anajiuliza why huyu ana act hivi?au kuna dhambi anaifanya?au yuko desperate kuwa na mimi?
au ni kimeo hiki kinajilazimisha kwangu? but ukiwa real you....ile sexiness inamvuta kila mtu...
'ndo mnaajaziana kila kwenye mapungufu' kila mtu anaziba ya mwenzie....
Nawaz tu......labda bibie anampenda sana mwanaume ........kwa hiyo anajitahidi kufanya kila awezalo kuonyesha upendo wake!!!!!!!
Ha ha ha maneno yapi
Hahahha ingieni tu afu junior aje awafungie na funguo. Ila kila kitu kina mwisho wake gelofriend, vumilia tu huku ukiendelea kumuombea. Ndo mumeo, ndo udhaifu wake huo na Inawezekana huo ndo mzigo wake unaotakiwa kumbebea. Ila wewe mtoto ni mbayaaaa jamani hahahhaaHa ha ha gelofriend bado tu kutoa michicha ndani ya friji tuingie sie
Sio rahisi kugundua kama unavyodhani.Yani huwezi amini wala mtoto hajahamisha upendo kwakweli mi najiona ni yule yule, nipo kama zamani