Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

vifanyie kazi hivyo anavyokulalamikia. Tena umepata mtu mzuri anayelalamika kwa hiyo ana communicate asichopenda na anachotaka afanyie. Sijui tatizo liko wapi Evelyn Salt kama mtu anaongea na wewe fanyia kazi anayoyalalamikia. Pia hizo kanuni zako ulizotoa za food, sex and space hebu achana nazo mapenzi hayana formula yoyote kwenye sehemu ya upendo onesha upendo kwenye sehemu ya kumliwaza mliwaze kwenye hitaji la ushauri mshauri, kwenye haja ya kumwombea mwombee akiwa na furaha furahi nae na akiwa na huzuni kuwa mfariji wake na akiwa na machozi kuwa mfutaji wa machozi yake na anaposhindwa kusimama mwenyewe simama nae

Ndoa ni kujitoa kila mmoja kwa mwenzake hamna kanuni

Fd hizo sio kanuni lakini ni vitu vya muhimu mtu anahitaji namie nahakikisha navitoa ipasavyo ndo maana sijastand katika hayo tu, thanks
 
Last edited by a moderator:
ES,huwa nakusoma kwa tabasamu kila nionapo comment yako jukwaani,kwa hili uliloandika hapa nimeongeza tabasamu mara dufu,wewe ni mwanamke wa shoka,I've appreciated your efforts towards the strength of your marriage,unayoyapitia ni kawaida sana kwenye ndoa,hakuna mkamilifu 100%,kwa kuwa wewe ndiye mlalamikia jikague upya ujifanyie tathmini,yawezekana huduma unazotoa kama mke zimepungua ubora,au unazitoa kwa moyo uliokunjamana,kagua mawasiliano yako na mumeo,how do you use your words,facial&body while communicating to your hubby? ni kipi kipaumbele chako kati ya 'kidume cha mbegu' na 'dume la mbegu' katika huduma?,junior analala saa ngapi? isijekuwa badala ya kumuengaenga mume unamuenga enga 'kidume cha mbegu'? je unampokea anaporudi kazini? je unajipamba na kujitia manukato 'spesheli' kwa ajili ya mume wako? nina mengi ya kukuuliza ila jitathmini kama unaona uko sawa hebu create something different,nimeona ukiandaa maji bafuni tu sijawaona mkioga pamoja...

Ha ha ha mme na mtoto wangu wote ni wa muhimu sana kwangu ila mmh mme ana special treatment zake, anapata mapenzi ya mke mwanangu nae anapata mapenzi ya mama....kuoga tunaoga wote karibu kila siku hata kama tumechuniana bafuni tunaenda wote hivo hivo kimya kimya
 
Ha ha ha mme na mtoto wangu wote ni wa muhimu sana kwangu ila mmh mme ana special treatment zake, anapata mapenzi ya mke mwanangu nae anapata mapenzi ya mama....kuoga tunaoga wote karibu kila siku hata kama tumechuniana bafuni tunaenda wote hivo hivo kimya kimya

kumbe kuna mazito lakini hutaki kusema ili ushauriwe
 
Ok jaribu kufanya apendavyo mkiwa wote jaribu kutokuwa busy na simu au uweke simu pembeni ...! Pengine ina furahisha sana ukiwa na mtu kama mnapiga story na yeye ana changia kidogo hata kwa kuuliza maswali! Pengine tatizo sio kuchat labda ni kuto kuonesha uko pamoja nae kwenye yale maongezi!

Binafsi huwa sipendi niwe na mtu afu niko bize na simu inakeraga sana nnachokifanya mi huwa nashika simu nikiona ye yuko bize na yake hapigi story na mie ndo nami nashika yangu na kuget bize
 
Basi kama hajawahi kukwambia ni vyema ukatafuta siku ukamkalisha chini kwa upole na unyenyekevu umuulize ni mapungufu gani ambayo anayaona kwako au ni tabia au matendo gani ambayo hayapendi kutoka kwako. Nina uhakika ukifanya hivyo atakusikiliza, atakueleza mapungufu yako na utaweza kujirekebisha au kufanya kile ambacho anatamani umfanyie.
Hatoi majibu ya kueleweka akijitahidi sana atasema "nitakuambia tu" nshamuuliza mara kibao
 
kumbe kuna mazito lakini hutaki kusema ili ushauriwe

Mazito yapi tena mmh hayo mazito unataka kuniletea wewe mie Sina mazito kuzinguana ni kitu cha kawaida tu na ni viugonvi visivo na kichwa wala miguu ambavo sio ishu wala
 
Hahahhahahhahahahahahhaaaaaaaa!
Hongera mwaya........nimekupenda buree kabisaaaaa.
...........wanawake wote wamefanya vyema lakini wewe umewapita wooteeee...........
Ha ha ha mmh
 
Hatoi majibu ya kueleweka akijitahidi sana atasema "nitakuambia tu" nshamuuliza mara kibao

Basi huyo ana lake jambo. Pengine amegundua kuwa unampenda, unamheshimu na kumsikiliza sana ndo maana anakufanyia hivyo. Kama ukikosea kweli akakueleza na wewe ukagundua kuwa umekosea kweli msikilize ila kama ni hizo tuhuma zake za kipuuzi zisizo na msingi zipotezee na uendelee kufanya mambo yanakupa furaha kwa sababu wakati mwingine ukiendekeza watu kama hawa unaweza kujikuta unakosa furaha na amani katika maisha yako kwa kusikiliza na kufuata vitu visivyokuwa na msingi.
 
Hivi umewahi kujua nini hasa anataka? Inawezekena unafanya kila kitu from your point of view ila bado yapo mambo muhimu zaidi kwake ambayo huyafanyi.

Mfano kwangu mimi si lazima sana kufuliwa na bibie (akiwepo) na kupikiwa sio ishu sana maana mi mwenyewe napika. Nathamini sana usafi hadi nadhani nakera na kingine ni space, a lot of space, yes a lot of space
 
Mazito yapi tena mmh hayo mazito unataka kuniletea wewe mie Sina mazito kuzinguana ni kitu cha kawaida tu na ni viugonvi visivo na kichwa wala miguu ambavo sio ishu wala

mke na mume wanaoishi nyumba moja kufikia hatua ya kununiana kwako hilo ni tatizo jepesi?
 
Duh sasa kama hapa am doing nothing natakiwa kuishi vipi labda???

Pengine huna cha zaidi cha kufanya,smtimes ni Mungu tu hajawapangia nyie wawili japo mpo wote bado.Nakumbuka kuna mkaka mmoja alikua anakaa na binti ambae alikua anamfanyia kila kitu ila baadae akaja kuoa mwanamke ambae hakuwai kumfulia hata nguo na walikua wanakutana tu restaurant.Sisemi kua story yako ndo kama hii bt nimeelezea tu.Maisha ni matamu sana pale unapoelewa kua kila kitu kinapangwa na Mungu utabaki na maswali bt kamwe hautoumia,tumtegemee Mungu zaidi na tuache kutumia akili zetu tutaishia kuumiza vichwa.
 
Pengine huna cha zaidi cha kufanya,smtimes ni Mungu tu hajawapangia nyie wawili japo mpo wote bado.Nakumbuka kuna mkaka mmoja alikua anakaa na binti ambae alikua anamfanyia kila kitu ila baadae akaja kuoa mwanamke ambae hakuwai kumfulia hata nguo na walikua wanakutana tu restaurant.Sisemi kua story yako ndo kama hii bt nimeelezea tu.Maisha ni matamu sana pale unapoelewa kua kila kitu kinapangwa na Mungu utabaki na maswali bt kamwe hautoumia,tumtegemee Mungu zaidi na tuache kutumia akili zetu tutaishia kuumiza vichwa.

Ahsante
 
Back
Top Bottom